Maandamano ya CHADEMA Jiji la Mbeya-Picha na Matukio

Kitu pekee kinachonifanya niichukuie CHADEMA ni chuki za wanachama wake (hasa wahapa JF) juu ya uislam. Wanachuki za wazi wazi, hawathubutu kuficha hata chembe. Sina hakika kwamba ndio ajenda hasa ya CHADEMA, kwani yanayohubiriwa na viongozi wao ni tofauti sana na haya wanayoyaabudu wana CHADEMA wa JF.

Mada ilikuwa wazi, kwa faida na ustawi wa chadema. Mtoa mada aliamini kwamba CHADEMA ni chama cha wasiokuwa na dini na wenye dini zao, wakiwemo waislam. Kwa bahati mbaya siku ya Ijumaa (muda husika) ambayo CHADEMA waliweka maandamano uliwanyima fursa wanachama, wapenzi na washabiki wa CHADEMA ambao pia ni sehemu ya chama hicho, lakini pia maandamano hayo yalipita kwenye nyumba za ibada (miskiti) ambapo yalisababisha usumbufu kwa waumini hao. Kama haitoshi, mtoa mada akatoa ufumbuzi: Kama itawezekana muda mwengine ijaribu kuyapeleka mbele kidogo (iwe saa 8) mchana kwani utakuwa ni muda muafaka kwa watu waimani hiyo kushiriki maandamano hayo, pia haitoleta bubza misikitini. Mada ilikuwa hiyo simple but clear!

Cha ajabu wakristo wa CHADEMA wameshindwa kuzuia chuki zao dhidi ya uislam, wakaona ndio sehemu ya kutapika waliyonayo moyoni. Wengine wakatoa mfano wa Tunisia wanaadamana ijumaa, lakini hakusema wanaandamana baada ya swala au kabla ya swala ya ijumaa?! Mwengine anasema adhana ya alfajiri inawakera! Kwa hiyo CHADEMA kimefanya hivyo kuwalipizia waislama? Hakuna excuse katika hili, nikukubali tulipokosea, CHADEMA haikuzingatia umuhimu wa waislam katika hili, na sababu kubwa ni kwamba pengine kamati iliyohusika kupanga maandamano hayo ilikuwa inawakristo watupu (linawezekana sana kwa chadema), hivyo hawakupata mtu wakuwakumbusha hilo!

Kama kweli maoni ya Wanachama wa CHADEMA hapa JF ndio yanawakilisha CHADEMA yenyewe (sababu hawa ndio great thinkers wao) basi, sina doubt CHADEMA ni anti-muslim... Inawezekana kimaandishi haipo hivyo lakini kutoka nyoyoni mwao iko hivyo!
 
Mimi sina dini yoyote, lakini kwa kweli huyu Muislamu JK, amevurunda nchi, na hii inanifanya niamini kuwa waislamu siyo watawala, nina imani kuvurunda kwa waislamu kunatokana na mfumo wa elimu yao na hili halina ubishi.Angalieni hata matokeo ya kila mwaka wa shule zao na ulinganishe na seminari ni sawa na usiku na mchana
 
Mm sina dini ,ila waislam mmezidi kulalamika,kuweni kama waislam wa UTURUKI they ar so smart,wana elimu ,jeshi zuri mpaka teknoloji wahuku tunadunga kahawa halafu vitu viende kiuwiano.hoja ya waislam kuonewa kwa sehemu si kweli ila mnajihisihisi,Dunia nzima muislam ni mtu wa kulalamika mbona huyo mungu wenu ni mnyonge aache muwe watu wa kulalamika tu mwambie awapiganie,ili mtoke kwenye manyanyaso.
 
mbona misikiti inapiga makelele na vipaza sauiti saa kumi alfajiri watu wamelala, wagonjwa wamepumzika na wengine wenye imani zao wakiwa wanasali majumbani mwao kimya kimya na hivyo kusumbuliwa.... mbona hatusemi
mie nilikua siamini waliposema wewe mpumbavu,.ila me nakupa jina zuri zaid ww ni mjinga
 
Jamani wana JF kwa nini haya maandamano ya chadema hayaonekani katika vyombo vya habari? kimsingi nilikuwa mbeya nikashangaa umati mkubwa wa watu yaani hiki chama cha magamba nawaonea huruma........
 
mbona misikiti inapiga makelele na vipaza sauiti saa kumi alfajiri watu wamelala, wagonjwa wamepumzika na wengine wenye imani zao wakiwa wanasali majumbani mwao kimya kimya na hivyo kusumbuliwa.... mbona hatusemi

Siku moja nilikuwa kwenye mkutano wa cdm pale kawe, ilikuwa kampeni za halima mdee, ilikuwa mida ya jioni, adhana ilipoanza Marando aliyekuwa akiongea wakati huo, alisimama mpaka adhana ilipokwisha, lakini kweli mbona waislamu wanatumia vipaza sauti?
 
Nakubaliana na wote wanaosema, kuvumiliana ni jambo la msingi kwa imani zote, dini sio uislamu na ukristo tu, hawa wengine mbona siwasikii wakiwakilishwa hapa, kwa mfano kuna wakristo wengine (sabato) wao wanaabudu jumamosi, nadhani sio rahisi kumridhisha kila mmoja. Kuna ustaarabu mwingine huwa nauona huku uswahilini kwetu, ambapo inapotokea msiba basi mtaa hufungwa kwa maturubai, hii naoina zaidi kwa waislamu kama nakosea nirekebisheni, je hii nayo sio usumbufu? Tuvumiliane tu angalau kwa pamoja tuelekeze nguvu zetu kwenye kuujenga tz bora badla ya kupoteza muda kujadili masualaa ya dini gani inanyanyaswa.
 
Yaonyeshwe kwenye media ama hapana hakuna kinachoweza kubadilishwa, watanzania wa sasa hawadanganyiki tena
 
Back
Top Bottom