Chama cha Demokrasia na Maandamano aka pipiz pwaaaa!
Inawaumaaaaaa, mbona huu ni mwanzo tuuu..............., mwaka huu mtavua mpaka ngozi, kwani magamba yamewashinda....
Chama cha Demokrasia na Maandamano aka pipiz pwaaaa!
mulikuwa munauhadaa ulimwengu kuwa Tanzania kuna demokrasia ya vyama vingi. Pumba (cuf, nccr, tlp, udp, nra, tadea, dp) zimejitenga.
chama cha siasa cha upinzani ndiyo hicho sasa kimejipambanua. mnatamani hata ruzuku ifutwe. lol!
na bado.
Serikali yetu masikini imekuwa ikiwapatia CDM mamilioni ya shilingi kama ruzuku ya chama hicho kila mwezi kujijenga kidemokrasia na kuleta chachu ya maendeleo nchini lakini CDM wamekuwa wakitumia fedha hizo za walipa kodi kwa kutalii mikoa kadhaa huku wakipoteza nguvu ya rasilimali watu kwa maandamano, nchi hii inahitaji wachapakazi na wenye kuleta chachu ya maendeleo na si watalii.
Serikali yetu masikini imekuwa ikiwapatia CDM mamilioni ya shilingi kama ruzuku ya chama hicho kila mwezi kujijenga kidemokrasia na kuleta chachu ya maendeleo nchini lakini CDM wamekuwa wakitumia fedha hizo za walipa kodi kwa kutalii mikoa kadhaa huku wakipoteza nguvu ya rasilimali watu kwa maandamano, nchi hii inahitaji wachapakazi na wenye kuleta chachu ya maendeleo na si watalii.
Hizo za CCM ambazo zimetokana na kodi zetu na wizi wa rasilimali zetu zimewekezwa wapi?Au ndio zinatumika kuwalipa watu kama wewe kuwatete Mafisadi.CHADEMA wanatumie pesa waliyopata kama ruzuku kuwahamasisha wananchi ,kuwafumbua macho kwa wizi unaofanywa na mafisadi,kua karibu ya wananchi na kusikiliza matatizo yao.Ata wakiulizwa pesa ilitumika vipi watatoa maelezo.CCM inapata ruzuku kubwa zaidi ya CHADEMA,inatuibia rasilimali zetu,haifanyi mikutano wala maandamano.Waulize pesa zinakwenda wapi?Nape:" Nikwambie ukweli, hali ilivyo ndani ya Chama watendaji wanafanya kazi kwa mazoea. Hali ya uchumi katika Chama ni mbaya. Huwezi kuamini kwamba kwamba katika mazingira ambayo tuna mali zenye thamani takriban Sh bilioni 50, kinachoingia kwa maana ya mapato ni takriban Sh. bilioni moja hivi. Ni lazima sasa tujiimarishe katika sehemu zote; sio tu kimaadili na kisiasa lakini pia kiuchumi".Nape Mnauye akiojiwa na gazeti Raiamwema.
MIE NIPO HAPA MBEYA WATU NI WACHACHE SANA, LEO WAMEFULIA; HUYO RM ANONA AIBU KUONYESHA PICHA ZA TUKIO. SHITAMBALA KAWAMALIZA:A S cry:
MIE NIPO HAPA MBEYA WATU NI WACHACHE SANA, LEO WAMEFULIA; HUYO RM ANONA AIBU KUONYESHA PICHA ZA TUKIO. SHITAMBALA KAWAMALIZA:A S cry:
Tumeshafungua Tawi Chuo Cha Teofil pamoja na ofisi ya Tawi hilo.Hivi sasa tuko robo ya safari kwa maandamano tukielekea uwanja wa Ruandanzovwe ambao watu wa Mbeya wameupata jina la uwanja wa Dr Slaa.Watu ni wengi sana,Polisi nao wametanda kila kona ya mji.Wamejaa hao.Kwa kweli hali ni nzuri sana na watu wanahamasa sana. Watu wa rika zote na jinsia zote wanaandamana kwa furaha kabisa.
Hakika Ukombozi Uko Njiani.
MIE NIPO HAPA MBEYA WATU NI WACHACHE SANA, LEO WAMEFULIA; HUYO RM ANONA AIBU KUONYESHA PICHA ZA TUKIO. SHITAMBALA KAWAMALIZA:A S cry:
Kuandamana ni kutoa hisia kupitia mkutano wa hadhara, unataka cdm ifanye nini wewe zuzu la siasa? Huoni mambo ambayo cdm wameishinikiza CCM na ikafanya pasipo utashi wao au nikukumbushe
1. Katiba
2. Kuwafukuza makamba na wenzie
3. Safari za JK kupungua kwa 90% (kwa kuwa hazikuwa na tija)
4. Kuwabana mafisadi (japo kisanii)
5. Kushusha bei ya sukari
Subiri ya Mbeya ujue tunashinikiza nini, pia ccm lazima itafanya kwani chadema ndio inaongoza nchi kwa remote control, nadiriki kusema Slaa ndiye Rais na Mbowe Waziri Mkuu
Tumeshafungua Tawi Chuo Cha Teofil pamoja na ofisi ya Tawi hilo.Hivi sasa tuko robo ya safari kwa maandamano tukielekea uwanja wa Ruandanzovwe ambao watu wa Mbeya wameupata jina la uwanja wa Dr Slaa.Watu ni wengi sana,Polisi nao wametanda kila kona ya mji.Wamejaa hao.Kwa kweli hali ni nzuri sana na watu wanahamasa sana. Watu wa rika zote na jinsia zote wanaandamana kwa furaha kabisa.
Hakika Ukombozi Uko Njiani.
Kutoka Soweto.
Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira
Inawezekana upo Mbeya Sokomatola kwenye ofisi za ccm mkoa, hapo lazima pawe na watu wachache sana ama hawapo kabisa kwa sababu wana-Mbeya wote wenye kuipenda nchi yao wanaelekea Ruandanzovwe.MIE NIPO HAPA MBEYA WATU NI WACHACHE SANA, LEO WAMEFULIA; HUYO RM ANONA AIBU KUONYESHA PICHA ZA TUKIO. SHITAMBALA KAWAMALIZA:A S cry: