Maandamano ya CHADEMA Jiji la Mbeya-Picha na Matukio

CHADEMA sio CCM tumeona ilivyojengwa na jinsi gani wamezitumia rasilimali zetu kwa ajiri ya kuendeleza matubo yao na familia zao(UFISADI)Kwa ziara za kwenda nje na kuwakumbuka wananchi wakati wa uchaguzi kwa kuwazadia walalahoi pea za khanga fulana na pilau.Utakijengaje chama kwa kukaa Dar na kutanua.HAMA KWELI CCM KICHEKESHO HAWA VIWAVI ILIOWATUMA HAPA JAMVINI KUWATEA HAWANA HOJA WANAKURUPUKA .

Hatuwezi kuwekeza raslimali zetu kwenye siasa wakati wote, kodi zetu hizi wanazopeana kama posho ya maandamano ya kutalii mikoani zingeweza kusaidia katika kuleta maendeleo kwa jamii ya watanzani.
 
Serikali ya CCCM imekuwa ikiwapatia CDM mamilioni ya shilingi kama ruzuku ya chama hicho kujijenga kidemokrasia na kuleta chachu ya maendeleo nchini lakini CDM wamekuwa wakitumia fedha hizo za walipa kodi kwa kutalii mikoa kadhaa huku wakipoteza nguvu ya rasilimali watu, nchi hii inahitaji wachapakazi na wenye kuleta chachu ya maendeleo na si watalii.

Wewe ni Ridhiwan Jakaya Mrisho Kikwete Juha kama baba yako huna jipya
 
Nawambieni CHADEMA msipoonyesha kwa vitendo kufanya yale ambayo CCM yamewashinda, watu wa kawaida watashindwa kuwatofautisha nao. Maandamano hata CCM wanayaweza sana. Onyesheni kwa vitendo na kauli zenu kwamba mnaweza kuyabadili maisha ya Watanzania hata kwa ruzuku hii ndogo mnayopata.
Kaeni pembeni, chadema washike serikali, wakamate TRA uone watakayofanya. Halafu kama ni matumizi ya ruzuku si kuhawa madawati wala kujenga shule, mkifanya hivyo hata CAG atawaadhibu kwa matumizi mabaya
 
...mji wote umezizima,ni maelfu ya watu!! Wanafunzi wameacha masomo kuiunga mkono CDM!!
 
Kwa wanafunzi mmekwisha wawini. Matawi mnafungua sana kisha mnayatelekeza. Ruzuku yote kwenye maandamano na uendehaji makaomakuu!
Si kwelu karibia matawi yote ya cdm yanapata assistance toka makao makuu ni majuzi tu tawi letu la shina viongozi wameambiwa wafungue a/c ya tawi kwa ajili ya kupokea ruzuku ya kuendesha chama si kweli eti matawi yanatelekezwa
 
Tusimpuuze WildCard,
Yuko na agenda ya muhimu, CHADEMA wanatakiwa wasambaze hii Ruzuku mpaka kwenye ofisi zao za vijijini sio pesa kutumika makao makuu tu.
[/QUOTE

Ruzuku yz CCM mmeiona kwenye tawi gani? Ya CUF JE? MNANG'ANG'ANA NA YA CHADEMA, MWAKA HUU ITAWATOA UDENDA
 
Ruzuku hii inatumikaje ndio concern yangu na Watanzania masikini wa nchi hii ambao baadhi wanaandamana huko Mbeya bila hata kikombe cha chai tangu asubuhi ya leo na hata kesho baada ya maandamano haya.

ccm na cuf ruzuku yao wanawanunulia watu chai? Bora cdm ambayo inatumia ruzuku hiyo kuwaamsha wananchi wazijue haki zao. Vilevile cdm imem-pressurize jamaa yenu hadi kakubali mchakato wa katiba mpya japo alikuwa hataki. Yapo mengi yaliyofanywa na cdm kwa kutumia "ruzuku" hiyo lakini kwa kifupi hayo ni baadhi tu ya mambo mazuri yanayofanywa na cdm. ccm wao wanavimbisha matumbo tu.
 
Ruzuku hii inatumikaje ndio concern yangu na Watanzania masikini wa nchi hii ambao baadhi wanaandamana huko Mbeya bila hata kikombe cha chai tangu asubuhi ya leo na hata kesho baada ya maandamano haya.

Wewe ni mtu ajabu kwel2, ruzuku kwa ajili ya vyama vya uinzani kazi yake ni kueneza sera za chama through maandamano, makongamano, mihadharan nk. sasa wewe kama unasema chadema wawape watoto sijui chai wakati wananchi hawakijui chama is insane. Chadema is practising politics and calling for demos is one of the practices. Shame on you, who call yourself wildcard!
 
Hivi hawa Chadema sisi Watanzania tunawashangaa sana kila kukicha maandamano, saizi watu wapo makazini, viwandani, mashambani, wao wapo barabarani wanafanya usumbufu kwa Watanzania, wanatumia vibaya pesa zetu walipa kodi 'ruzuku' wanagawana posho kila baada ya maandamano. viongozi wa juu Dk Slaa na wenzake kila mmoja poso yake milioni mbili, hawa wengine kina Lema na wenzake milioni moja, huyo dada mbunge wa kupewa wa maandamo Regia Mtema yeye na wenzake laki tano, huyu dada yeye kila kukicha kiguu na njia kwenye maanamano, hili swala Zitto akubaliani nalo ndio maana umuoni kwenye maandamano yao, Chadema wamefanikiwa lakini kwenye maandamano kimekuwa chama cha kwanza dunia kufanya maandamano mengi wastani kila mwezi wanaitisha maandamano. wamo kwenye Guinness book Record in the World, chama cha maandamano

Huu ni ufisadi kwa mlango wa nyuma.

sasa kimekuwa CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAANDAMANO....na bado ukweli uko njiani.
 
Huyu aliye tuma hii thread hata akienda kwa babu haponi labda achomwe sindano stini kwenye kitovu chake,nahisi kitovu chake kitakuwa kikubwa kama bilinganya.pole sana
 
Hivi hawa Chadema sisi Watanzania tunawashangaa sana kila kukicha maandamano, saizi watu wapo makazini, viwandani, mashambani, wao wapo barabarani wanafanya usumbufu kwa Watanzania, wanatumia vibaya pesa zetu walipa kodi 'ruzuku' wanagawana posho kila baada ya maandamano. viongozi wa juu Dk Slaa na wenzake kila mmoja poso yake milioni mbili, hawa wengine kina Lema na wenzake milioni moja, huyo dada mbunge wa kupewa wa maandamo Regia Mtema yeye na wenzake laki tano, huyu dada yeye kila kukicha kiguu na njia kwenye maanamano, hili swala Zitto akubaliani nalo ndio maana umuoni kwenye maandamano yao, Chadema wamefanikiwa lakini kwenye maandamano kimekuwa chama cha kwanza dunia kufanya maandamano mengi wastani kila mwezi wanaitisha maandamano. wamo kwenye Guinness book Record in the World, chama cha maandamano

tunafurahi sana mnavyoweweseka... na bado.
 
Naona hata CCM wapo hapa jamvini wakisikilizia maumivu!!! wanatamani wakaishi angani!!
 
Mtachoka tu kuandamana li-nchi likubwa sana hili. Kodi zetu ndio zinateketea hivo. Tofauti kati yenu na CCM kwa matumizi ya fedha za UMMA haipo. Watoto wetu waendelee kusoma chini ya miti na kukalia mawe. Tuendelee kuigharamia SIASA mpaka basi.

Kwa hiyi ulikuwa unashauri vipi mkuu.
 
Tuandamane kwa gharama ya nani? Tufute ruzuku kwenye vyama vya SIASA. Inatutesa.

mulikuwa munauhadaa ulimwengu kuwa Tanzania kuna demokrasia ya vyama vingi. Pumba (cuf, nccr, tlp, udp, nra, tadea, dp) zimejitenga.

chama cha siasa cha upinzani ndiyo hicho sasa kimejipambanua. mnatamani hata ruzuku ifutwe. lol!

na bado.
 
Unataka hoja ijibiwe kwa hoja wakati haujatoa hoja. Hiyo ndio siasa, tulieni muangalie picha.

Haya maandamano yanagharimu kiasi kikubwa sana cha fedha, kuanzia magari, ukodishaji wa magari, mafuta, chakula, malazi, POSHO za viongozi n.k, fedha hivi zingetumika kununua madawati kwenye mojawapo ya shule za msingi zilizo karibu na ofisi ya CDM pale kinondoni au hata kununua dawa mahospitalini.
 
Back
Top Bottom