Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
Hii ndio Taarifa fupi iliyosambazwa na chama hicho leo kote Duniani , Kwamba Chama hicho kitaongea na Wanahabari na huenda kesho kikatoa ratiba ya Maandamano kwenye jiji hilo
Ikumbukwe kwamba Maandamano ya Chadema yanazidi kupata uungwaji mkono wa kutisha wa wananchi , na inakisiwa kwamba Maandamano ya Mbeya yatavunja rekodi ya Maandamano yaliyowahi kufanyika Nchini Tanzania .
Usiondoke JF maana nitakuwa Live kutoka ofisi ya Kanda hiyo
Ikumbukwe kwamba Maandamano ya Chadema yanazidi kupata uungwaji mkono wa kutisha wa wananchi , na inakisiwa kwamba Maandamano ya Mbeya yatavunja rekodi ya Maandamano yaliyowahi kufanyika Nchini Tanzania .
Usiondoke JF maana nitakuwa Live kutoka ofisi ya Kanda hiyo