Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Mkuu wa Kaya,sidhani kama Lowassa atakuwa radhi kusema ukweli wake katika hili. Ila pia bado sijaelewa ni picha gani ambayo inaendelea hapa. Ngoja tutafika tu mwisho wake maana si ndio likizo ya kuomba kazi tena wameshaianza...
Mkuu Lusajo,
Mzee Mwanakijiji aliwahi kuota hii njozi!
Naona kama ana kipaji cha kufunuliwa vile.... maana picha invyoanza inaelezea mwisho wake...
Kweli bongo tambarare.