Lowassa strikes back!

Kamati ya Mwakyembe haikumlazimisha Lowassa ajiuzulu na wala kamati haiku toa pendekezo hilo. Kamati ilikua on a fact finding mission. Kazi ya kamati ilikua ni kuwasilisha nini walicho gundua. Kwa hiyo wote waliosemwa kwa njia wanayo ona si sahihi wange kuwa na nafasi ya kuji tetea kwani kamati haikua mahakama na maneno yake wala haya kuwa hukumu.

Swala linalo nitatiza mimi ni kwamba kama kweli Lowassa alikua innocent kwa nini alijiuzulu? Kwa nini hakuchallenge findings za kamati na kudai haki yake? Did he give up kwa sababu aliona njia pekee ni kujiuzulu na kuita "uwajibikaji"?

Swala lingine linalo chekesha ni watu kudai Lowassa alijiuzulu kwa ajili ya "kusave" serikal ya Kikwete. Kwa nini atake the fall kwa ajili ya serikali nzima? Na kama kweli ali kubali kuji toa muhanga kwa ajili ya serikali kwa kuonekana guilty kwa nini ajitetee sasa hizi?
 
Lowassa ana kila haki kutafuta haki yake katika hili jambo. Nimekuwa nikiwaeleza hapa jamvini toka mwanzo kwamba Lowassa alionewa katika hili suala, hakupewa muda kabisa wa kujieleza mbele ya tume ya Mwakyembe. Tume ya Mwakyembe ilikuwa na madaraka ya kumuita mtu yeyote bila kujali cheo, rangi, kabila wala mali kwani ilipewa mamlaka hayo na Mkuu wa nchi.

Kwanini tume Iliweza kuwasikiliza na kuwatembelea watuhumiwa wote isipokuwa Lowassa?. Jamani huwezi kumuhukumu mtu bila kumsikiliza ama kumpa nafasi ya kujieleza. Na ningeomba muelewe kwamba uzuri wa shillingi ni kuiangalia pande mbili na wala si pande moja. Welldone Lowassa.

Check your facts!!
 
Tuitafakari vizuri hiyo Falsafa yake kule Monduli, ina ujumbe mzito sana, sasa hivi wanahuzunika pamoja na they are fighting kufurahi pamoja, when ?? tusubiri Nov is right here around the corner
 
kwa kweli i hope.. TBC watawapa kina Mwakyembe nafasi ya kujibu hoja zao.. kwani bado anaamini kuwa suala zima lilikuwa ni "Uwaziri Mkuu", na anasema aliwajibika kwa makosa ya watu waliochini yake na kuwa yeye yuko "clean"

Na anaamini ilikuwa ni suala la uwaziri kuu wa lowassa

Yes, huo ni ukweli mtupu.
 
..Lowassa is right hakutendewa haki...wekeni ushabiki kando....kauli ya Mwakyembe ya kumtaka achague mwenyewe ..wakati wanajuwa hawakumuhoji ilikuwa ya kiuonevu.....kama hawakumuhoji hawakuwa na haki ya kumuambia aamue hatima yake!!!

Lakini lazima mjue Lowassa aliokoa serikali nzima ya Kikwete kuanguka...kama angeng'ang'ania madaraka tulikuwa tunaelekea kutokea uchafuzi wa hali ya
hewa.......wanamkakati wapinzani wa Kikwete ndani ya chama kwa kujua kuwa Lowassa ndie alikuwa robot ya mtandao ....lengo lao lilikuwa kuangusha serkali ya Kikwete na kufanikiwa kujiuzulu kwa Lowassa ...lengo lilikuwa ni kuidhoofisha serikali ya Kikwete......

Naafikiri Kikwete na Lowassa ...they could achieve more together than what is claimed to be achieved today.....Lowassa anamjua vema Kikwete na udhaifu wake na alikuwa akiweza vema kuziba nyufa...ndio maana ....serikali ya Kikwete iliweza kuvuka ile miaka miwili migumu ya mwanzo....na bado wakaweza kujenga shule kila kata.............


Tusiwe wachoyo wa fadhila ......kwa kikwete na lowassa...as a team...

U
kiangalia kwa sasa kikwete anapwaya kwa sababu bado PINDA Hajamudu kuelewana vema ni Kikwete kikazi..... Pinda ni conservative ....civil servant, wakati Kikwete ni chakaram....sasa ukizingatia tena Shein ana sifa kama za Pinda .....basi kidogo imeleta gap......i mean wasaidizi wa rais mpole kama JK .....wanatakiwa wawe na ushawishi mkubwa .....na nguvu ya kisiasa....


Asante sana kwa kuwa mkweli. Ulichoandika hapo juu ni ukweli mtupu. Nashindwa kuwaelewa wana JF wanaoshindwa kuona na kuelewa ukweli huo. GOD BLESS YOU.
 
watanzania mmelishwa nini? Heri sisi huku UK

Hapa tumeanza upya kujadili matokeo bila kujali kuwa palikua na chanzo na ndo lililo tufikisha hapo tulipo. Kama tunasahau namwomba inv. atuwekee hapa tujikumbushe kwa nini kamati teule iliundwa, na nini kamati iligundua kisha wanaopenda kumuunda upya lowasa waendelee na uumbaji wao... Mungu ni wetu sote tutafika tuuuuuu
 
Kwanini, Lowassa alipopewa nafasi ya kuzungumza aliamua kujiuzulu badala ya kujitetea maana Bunge ndilo lenye nguvu zaidi kuliko Kamati yake moja? Angeweza kutoa hoja kuwa Bunge likae kama Kamati Teule na kumsikiliza utetezi wake?
 
Edward lowassa's second attempt to face to face the public was premuture, just as in first attempt which tbc took of air after a few minutes.

You could see lowassa shaking full of fear and bitter for those who ploted his downfall!

Words like 'hawaniwezi ni kiongozi wa massai tanzania na kenya' showed his luck of self confidence.

The rest I leave you to analyse and give your verdict.
 
watanzania mmelishwa nini? Heri sisi huku UK

Nyerere aliwachapa bakora wale wanafunzi wa chuo kikuu ....kina marehemu peter bakilama..et al...waliosemaga ,HERI MKOLONI!!!!!!!

..SASA KAKA UNASEMA HERI ..UK...ITS LIKE SAYING HERI MKOLONI....huwezi kulinganisha uk na tanzania kwa vipimo vyovyote duniani...nitamuelewa mtanzania aliye kwenye nchi ya dunia ya tatu ie zambia ...akisema "heri huku"....

BoB MARLEY alisema.."emanticipate yourself from the mental slavery ...."

MtaNZANIa ukiwa Uk AU marekani huwezi kuwa bora kuliko aliye nyumbani.....hasa kwa wale ambao hata ukitokea msiba au sherehe angalau mara moja kwa mwaka wanashindwa kuja .....na atleast kuja likizo angalau mara moja kila baada ya miaka miwili....kama humudu hata kutuma senti nyumbani au kununua nyumba nyumbani...kusomesha nduguzo home...basi huna sababu ya kuwa ulaya ...na kusema "heri huku"

nawapongeza wana diaspora ambao ..kuwa kwa nje kunaleta faida kwa jamii yao na wanaweza kuwekeza nyumbani........tukiendelea hivyo nasisis tutakuwa na sababu ya kuwa ulaya ...kama wahindi ,wa israel,mexico au hata wakenya....ambao ...wana diaspora wanachangia sana kipato cha nchi.
 
PM..

a. kwanini Lowassa hakutoa hoja Bungeni siku ile asubuhi na kutaka Bunge liahirishwe ili aweze kupitia hoja za wabunge zilizotolewa jana yake na kutoa majibu?

b. Kwanini hakutoa hoja kuishutumu kamati teule kuwa haikumpa nafasi ya kujitetea na kuomba Spika ampe muda mbele ya Kamati hiyo iweze kumhoji kabla haijachukuliwa hatua nyingine?

c. Kwanini Lowassa baada ya kuona Bunge limegawanyika hakutoa utetezi wake wa kile alichokifanya/kutokifanya kuhusu Richmond na baadaye kutaka Bunge lipige kura ya kutokuwa na imani naye?

d. Kwanini licha ya kutoitwa na Kamati Teule, Lowassa hakujitetea mbele ya Bunge ambalo ndilo lilikuwa na nguvu na lina nguvu kama Kamati Teule kwa mujibu wa Kanuni za Bunge? Kwa kukataa nafasi yake ya kujitetea mbele ya Bunge (aidha kama Bunge au kama Kamati) yawezekana alijinyima yeye mwenyewe nafasi ya kujitetea aliyoiomba na kupewa?
 
Kama WAZIRI MKUU aliye madarakani anaweza akaonewa na akashindwa kabisa kufurukuta basi lipo tatizo kubwa tu katika mifumo yetu ya sheria na utawala.
 
hapa tunajadili nini?mjadala tulisha funga siku nyingi kama lowasa kaleta hela za kumsafisha ndani ya jf.tule wote kwa sababu naona tunakaushana koo bure.kuna mambo mengi ya maendeleo ya kujadili haswa kuelekea kipiondi cha uchaguzi.
 
Kajileta mwenyewe EL jana pale TBC kwa kusaidiwa na mwanamtandao mwenzake Tido wa TBC. Timing ya mahojiano haya ndio imeniacha hoi. Rais anavunja Bunge EL anajitokeza! Ana uhakika akina Sitta, Mwakyembe,...., hawarudi mjengoni nini?
 
PM..

a. kwanini Lowassa hakutoa hoja Bungeni siku ile asubuhi na kutaka Bunge liahirishwe ili aweze kupitia hoja za wabunge zilizotolewa jana yake na kutoa majibu?

b. Kwanini hakutoa hoja kuishutumu kamati teule kuwa haikumpa nafasi ya kujitetea na kuomba Spika ampe muda mbele ya Kamati hiyo iweze kumhoji kabla haijachukuliwa hatua nyingine?

c. Kwanini Lowassa baada ya kuona Bunge limegawanyika hakutoa utetezi wake wa kile alichokifanya/kutokifanya kuhusu Richmond na baadaye kutaka Bunge lipige kura ya kutokuwa na imani naye?

d. Kwanini licha ya kutoitwa na Kamati Teule, Lowassa hakujitetea mbele ya Bunge ambalo ndilo lilikuwa na nguvu na lina nguvu kama Kamati Teule kwa mujibu wa Kanuni za Bunge? Kwa kukataa nafasi yake ya kujitetea mbele ya Bunge (aidha kama Bunge au kama Kamati) yawezekana alijinyima yeye mwenyewe nafasi ya kujitetea aliyoiomba na kupewa?

Jamaa alitumia hasira katika kuamua. Akaamua kujilipua. Akawa kamikaze.
 
hili ni tatizo kubwa sana kama tutaendelea kuwatetea au kutetea mfumo unaiingiza Nchi yetu kwenye balaa kama la Richmonduli........
 
Wapinzani wa EL kuingia Ikulu ya TZ waongeze nguvu na kutafuta hoja nyingine, kama wanategemea Richmond tu kama hoja ya kumuzuia EL kuingia Ikulu basi wameliwa angalieni mambo mengine ya Msingi.

Naona ameisha ingia ndani ya 18, labda wafanye mbinu kama mchezaji wa Uruguay. Hii ndio Tanzania nchi ya amani na utulivu.
 
Rafiki tutacheza rafu ndani ya 18 hiyo hiyo itatolewa penati..atapiga atakosa....kama Ghana...bora lawama kuliko fedheha kubwa ya kumkambidhi Edo Nchi yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom