Ni msafi kwa lipi wakati vimemo vya kuarakisha mchakato huo mchafu wa kupata richmond alisign yeye? Ni nanai alikuwa anamlazimisha injinia Manyanya apitishe ila akakuta mama ameona mbali?
Fisadi Mtoto,Kwa kweli si kila mwenye uwezo wa kuandika anapaswa kuandika hata mambo hasioyajua...huyu ni mmoja wapo.................1.Anadai hapa kuwa kuna mtu alikuwa anamlazimisha injinia manyanya apitishe memo???????????how mbunge anapitisha memo ya waziri mkuu kwa ujinga wake anadhani manyanya alikuwa ni mtendaji pale tanesco wakati wa tanesco,...........2Hajasikiliza sijui au hajaelewa maelezo kuwa ni kweli alipush mchakato uende kwa haraka kwa kuwa tishio la umeme ni kubwa lilikuwa na anaamini ulikuwa ni wajibu wake
..Lowassa is right hakutendewa haki...wekeni ushabiki kando....kauli ya Mwakyembe ya kumtaka achague mwenyewe ..wakati wanajuwa hawakumuhoji ilikuwa ya kiuonevu.....kama hawakumuhoji hawakuwa na haki ya kumuambia aamue hatima yake!!!...hivi kwani alihukumiwa/alishinikizwa na Kamati kujiuzuru au aliachiwa APIME NA KISHA AAMUE?!
Nchi hiii inahitaji dikteta wa kiasi....apeleke watu mchakamchaka.......kubalini kataeni..sio lazima Lowassa, yeyote ambaye ni serious ...sio wauza sura na wanaojipodoa kama kina Membe.[aka: nyoka wa mdimu] maana ndiye anategemea urais 2015..na ameshaanza kujiandaa na kumuandaa mkewe kuwa first lady.....Fisadi Mtoto,
Naona umerudi kwa kasi kuwatetea wakubwa wako. Lowassa alikuwa anatawala kwa vitisho. Kama uamuzi haukubaliani na utashi wake alikuwa analazimisha utashi wake ufuatwe au uachishwe kazi. Hatuhitaji mtu kama huyu kushika usukani wowote wa uongozi katika nchi yetu.