EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,093
Hivi we mzee mwenzangu unasahau kwamba "The older you grow, the Younger you Become"We mzee? Coming with this thread? What a contradiction!
Hivi we mzee mwenzangu unasahau kwamba "The older you grow, the Younger you Become"We mzee? Coming with this thread? What a contradiction!
Hivi we mzee mwenzangu unasahau kwamba "The older you grow, the Younger you Become"
Hahahahaaa nimeipenda bure hiiMimi nitaoa kwa sababu kuna mtu anataka kuolewa na mimi!
Tena unaanza kuangalia pande zote za shilingi na mara nyingi upande usioupenda lazima uzidiKweli lakini mkuu. Na huwa kuna kujiuliza ....'was it worth it?'
Hahahahaaa nimeipenda bure hii
Khaaaa hivyo tu!!!!! Muongo mkubwa sana huyo...........anatafuta kitu kingine kabisaKweli mkuu..
Cuz she told me she is going crazy over me!
Na sio hivyo tu..she is dying over me too..
Hivyo inabidi nimuoe tu sababu anaweza kufa kwa ajili yangu!
Na hayo hayo maandiko hayatwambii hata sehemu moja kwamba Yesu alioa.......ingawa alihudhuria harusi"Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja". Mwanzo 2:24.
Hii ni kiimani zaidi,
ili kulea family
ram mtume Paulo hakuweza kwasababu kama unakumbuka historia yake kabla ya utume alikuwa muuaji wa kutupwa na mambo yooote machafu so before hajawa mtume ali doIla umesema wewe ni mwanaume sijui kama unaweza kukuaa bila kudo, ingawa mtume Paulo aliweza
Nimeipenda hii tunaamua kuoana (kiimani) ili kuepuka dhambi inaitwa "uasherati" maana uzinzi ni yule aliyeko kwenye ndoa kisha akaamua kutoka nje na sio ambaye hajaingia kabisaili tuzaliane kwa utaratibu tuiongeze dunia na kutokuzini kutengua amri ya 6, inabidi tufanye hivyo, sababu ni nyingi ila wakati ukuta ntarudi
Na hayo hayo maandiko hayatwambii hata sehemu moja kwamba Yesu alioa.......ingawa alihudhuria harusi