Kwani lazima kuoana?

in africa hicho kikombe hakikwepeki sijui kwa nini,agemates wangu in tanzania karibia wote wameolewa na wana watoto....wakati najiona bado kusettle down.
 
Okya

Kuoa au kuolewa sio la lazima, ila kwa maadili yetu ya ki africa marriage ni jambo la heshima

maadili ya kiafrika so what? Why man and woman in this world? Au ndio unafanya analysis ya kiglobalization.
 
in africa hicho kikombe hakikwepeki sijui kwa nini,agemates wangu karibia wote wameolewa na wana watoto....wakati najiona bado kusettle down.

bado mpaka lini? When its a right time 4u? Dou you know when and at what time voluntary actions/decitions takes place specificaly?
 
maadili ya kiafrika so what? Why man and woman in this world? Au ndio unafanya analysis ya kiglobalization.

nduu/mamaya

I cant say i fully understand what is being asked of me, ila if u can labda ungenifafanulia zaidi:A S shade:??
 
Hivi hiyo ndio tafsiri ya nilichoandika?
Kweli akili yangu imepungua akili.

soma vzr hiyo stanza yako ya kwanza uliyoanza nayo,hiyo ya pili ni matokeo ya ndoa na matokeo huweza kuwa positive or negative kulingana na chaguo plus other factors.
 
nduu/mamaya

I cant say i fully understand what is being asked of me, ila if u can labda ungenifafanulia zaidi:A S shade:??

i mean that umefanya analysis yako kwa kufanya comparison either na jamii flani kutoka bara flani,thats why unasema kwa jamii ya afrika ni lazima ukiwa na maana kuwa kuna jamii zingine nje ya bara la africa hazioni umuhimu wa kuoa/kuolewa na iko hivyo kweli kwani jamii nyingine nje ya bara la africa zimefika mbali zaidi zimeona pia hakuna umuhimu wa kuzaaaaaa!
 
he we mpaka hapo nitakapojisikia,halafu ongea kiswahili....:A S angry:

ok. Najua unawaza hivyo jestina,lakini ukumbuke haya mambo ni ya hiari nayo hayana muda wala wakati maalumu,unaweza kupanga kuwa nitaoa/kuolewa baada ya miaka mitano lakini ukaja ukajikuta ndani ya mwaka mmoja umeoa/kuolewa.na hili liko wazi sana kwani asilimia kubwa ya wanandoa wameoa au kuolewa tofauti na kipindi/muda waliokuwa wameupanga wao na hii hutokana na kuwa mahusiano yanadhiriwa internal factors na external factors.
 
kuoa ni mfumo mtu wa kibinadamu uliozoeleka, ki afrika usipooa watu wanatengeneza maswali mengi sana tu
 
soma vzr hiyo stanza yako ya kwanza uliyoanza nayo,hiyo ya pili ni matokeo ya ndoa na matokeo huweza kuwa positive or negative kulingana na chaguo plus other factors.

Bado sioni hiyo tafsiri ila nijibu tu HAPANA.
Mie siku nikiamua kuolewa haitokua kwaajili ya heshima, wala hiyo heshima siihitaji achilia mbali kuitaka.
 
mtazamo wangu....kuoa/kuolewa si lazima.......kuoa/kuolewa hakujengi heshima, heshima hujengwa na malezi bora, heshima hujengwa na kujithamini na kujitambua, heshima hujengwa na kujiheshimu, heshima hujengwa na kuheshimu wanaokuzunguka bila kujali umri, cheo, wala fedha.

Heshima hujengwa na tabia yako, heshima hujengwa na mwenendo wako.......

Sioni faida kama umeo then unamtukana mkeo mpaka jirani nyumba ya tatu anakusikia....au unatembea na kila mwanamke hapo utegemee kuheshimiwa? Au umeoa unalewa mpaka unavua nguo unadhani ndoa italinda heshima yako kwa halihiyo??????
 
mtazamo wangu....kuoa/kuolewa si lazima.......kuoa/kuolewa hakujengi heshima, heshima hujengwa na malezi bora, heshima hujengwa na kujithamini na kujitambua, heshima hujengwa na kujiheshimu, heshima hujengwa na kuheshimu wanaokuzunguka bila kujali umri, cheo, wala fedha.

Heshima hujengwa na tabia yako, heshima hujengwa na mwenendo wako.......

Sioni faida kama umeo then unamtukana mkeo mpaka jirani nyumba ya tatu anakusikia....au unatembea na kila mwanamke hapo utegemee kuheshimiwa? Au umeoa unalewa mpaka unavua nguo unadhani ndoa italinda heshima yako kwa halihiyo??????

safi sana mkuu,ningekugongea like natumi siemens c25
 
Bado sioni hiyo tafsiri ila nijibu tu HAPANA.
Mie siku nikiamua kuolewa haitokua kwaajili ya heshima, wala hiyo heshima siihitaji achilia mbali kuitaka.

najua manka unahitaji kitochi ngera
 
Kwangu mimi sio lazima,life is how u make it aisee, ukiishi kwa mazoea kuna siku utajuta kuzaliwa katika sayari hii..
 
Sio lazima but ni heshima ikiwa mtaheshimiana wenyendoa na kama ni muumini fulani inakuwa ina ulazima maana mambo ya kuzaa nje ya ndoa au kuzini inakuwa ngumu na against most religions.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom