Kipima joto ITV LIVE: Mada mgao wa umeme mpaka lini?

Hivi hawa mawaziri ni kiburi au ni ujuha wa kuto elewa kitu ...kweli ni majibu gani anayotoa huyo mama.
Yaani wanaudhi sana kila mtu anajua kuwa umeme ni janga la taifa.

sasa yeye kama mtetezi wa serikali alibidi aonyeshe uzito wa swala hili sio majibu kama hayo yasiyo msingi kabisa...
 
Hebu nisaidieni hapa. Bajeti ya Kenya ni zaidi ya shilingi za kitanzania trilioni 20, nchi ndogo kijiografia ingawa kiidadi inakaribiana na TZ, wametenga 20% ya bajeti yao kwa ajili ya umeme maana yake wanatoa zaidi ya bilioni 500 kwa ajili ya umeme. TZ 3% YA TRILIONI 13 za bajeti yetu ambayo karibu trilioni 3 ni za kulipia madeni .
 
Jaman anatoka jimbo lipi jamani huyu bwana Mkinga? Bonge la Jembe ila huyu mama anamung'unya maneno
 
Huyu mama simba hata simuelewi anasema watanzania tusiilaumu tu serikali wananchi wawekeze wenyewe kwenye umeme,waende COSTECH wachukue tafiti za kuzalisha umeme na kuzitumia,swali ni wananchi wangapi wana access ya kupata hizo tafiti,how about wale waliopo in rural areas,capital availability,technical know how na mengineyo?
 
mkinga selikali yetu nifisadi vyanzo vyote vya umeme vilianziswa na nyelele kipindi tz hatuna pesa vyanzo vingine vyote nivyakifisadi richimond nk kagusia halimashauli pesa zinavopotea kagusia magogo yanavoibiwa bahalini samaki wanavo ibiwa selikali yetu wazembe akili ipo kwenye ufisadi
 
Hivi hawa mawaziri ni kiburi au ni ujuha wa kuto elewa kitu ...kweli ni majibu gani anayotoa huyo mama.Yaani wanaudhi sana kila mtu anajua kuwa umeme ni janga la taifa.sasa yeye kama mtetezi wa serikali alibidi aonyeshe uzito wa swala hili sio majibu kama hayo yasiyo msingi kabisa...
huyo mama haiwakilishi serikali, yeye anajifanya mjasiriamali anayetaka watz wawekeze ktk umeme, mie naona yote anayosema mama ni ya kufikirika tu na hayana uhalisia wowote!
 
jama moja kapiga sim toka mahenge kasema kabisa kwamba huyu mama hakujianda hoja zake ajianze upya kweli huyu mama anabowa
 
huyu mama simba hana point kabisa!yeye mwenyewe anasema kiwanda kafunga hakuna umeme halafu anasema eti watu waende costech!Ana bore sana
 
Huyu mama anatupotosha amwachie jembe mkinga ila huyu jamaa ni kichwa. Misamaa ya kodi Tanzania 30% kenya 3% Uganda 0.4% hi ni hatari
 
Huyu mama ni mfno halisi w viongozi wetu wanao tutawala mwangalieni hawajui wafanyalo
 
huyu mama mwehukweli kweli anasema umeme upo mjini tuzungumzie vijijini jamani tupo mjini umeme masaa2 giza masaa22 anasema tusilalamikie selikali inaonekana hanafamilia watoto nyumbani wasipo pata chakura wamlalamikie nani? Inaonekana katumwa kumvuluga mkinga nahoja nzima kiujumla
 
Back
Top Bottom