The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 256
poa mkuuThanks mkuu ntakuwa nimemsikia vibaya.
poa mkuuThanks mkuu ntakuwa nimemsikia vibaya.
Mkinga sijuwi anatumia mota kuongeyaa data nazo anazitowa kwampangiloMkinga akiingia bungeni its an example hiyo miongozo na taarifa zitakazoombwa sipati picha
Mkinga>umeme sio janga la taifa but janga la serikali,kenya wametenga 20% ya bajeti kwa ajili ya kuzalisha umeme wa joto ardhi hapa TZ ni 3% ya bajeti mwaka huu.
Hali ya kukatika kwa umeme inaumiza sana, watu wanatoka nyumbani bila kunyosha nguo zao, wanalala gizani!mkinga leo kaumbuka ameeleza jinsialivo nusulika kukikosa kipindi alikuwa kwa kinyozi kunyowa akaylewa upande umeme ukakatika
Pandikizi huyu mama simba ndowanao faidika na hi miladi inaoibuliwa tunavoteseka wengine wananufaika nivigumu mfano kama unakazi yakuchomelea huwezi kutumia umeme huoMkinga anamwaga data za ukweli, huyo mama anashauri wananchi wajitafutie vyanzo vyao vya uwekezaji wa umeme! Wataalam wa umeme hebu tuambieni nafasi ya mwananchi mmoja mmoja ktk uwekezaji wa umeme wenye tija.
Mama anazungumzia mambo ya peponi ambayo hatuwezi kuyaishi huku duniani! Kuhusu COSTECH kazi zao hazipo dhahiri sana kwa wadau!Huyo mama ni mtetezi wa mafisadi anaongea kirahisi rahisi .Mtu hajui atapata wapi mlo wa siku je huo uwekezaji utakaje:A S 103:
hapo umesema tena aje kugombea kwa tiketi ya cdm...tena asiende mbali zaidi ya jimbo la segerea maana mbunge aliopo ni kama pazia vile........Renatus ni mzuka, gubu, au uchungu wa ufisadi maana.......Mkinga akiingia bungeni its an example hiyo miongozo na taarifa zitakazoombwa sipati picha