ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Hii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.
Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.
Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.
Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule
Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.
Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.
Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule