Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,497
- 17,372
Mama simba ni mtetezi wa mafisadi haswa anajulikana sana kwa fitna na uchonganishi yupo hapo alipo kwa fadhila tu za kitwana kondo kumsaidia JK wakati uleeee.....sasa huyu mama anabebwa kulipa fadhila hana cha zaidi.....muda wake utafika ataaibika wazi wazi mpeni muda kidogo tu