Wajumbe mko aje?
Niko jukwaani nikitema cheche kuhoji uhalali wa mgao wa umeme ilhali mvua ni nyingi zinazonyesha huku zikileta madhara kwa baadhi ya maeneo. Kwa ukubwa wa mvua zinazoendelea kunyesha hakuna sababu ya mgao wa umeme hata kwa nusu sasa.
NAWATAKIA SIKU NJEMA
Niko jukwaani nikitema cheche kuhoji uhalali wa mgao wa umeme ilhali mvua ni nyingi zinazonyesha huku zikileta madhara kwa baadhi ya maeneo. Kwa ukubwa wa mvua zinazoendelea kunyesha hakuna sababu ya mgao wa umeme hata kwa nusu sasa.
NAWATAKIA SIKU NJEMA