Kipima joto ITV LIVE: Mada mgao wa umeme mpaka lini?

mkinga hitimisho kamuagiza kikwete umeme shule reli vinginevo ataiita selikali yakisani
 
bado wapiga sim wanamponda mama simba kwamba yupo kwamanufa ya wa chache mkinga kapigilia anasema vigogo wanao ka masaki wanamjenileta bule nyumba bule sim bule kula bule hawana huluma na watanzania

Mh!
Mkuu tuko pamoja nakukubali lakini hizo 'l' na 'r' zipe haki yake kidogo
 
Mkinga nae porojo nyingi, Topic ni umeme, mara ooo magorofa BOT, mara ooo Imprt support anaboa
 
mkinga hitimisho kamuagiza kikwete umeme shule reli vinginevo ataiita selikali yakisani

Kikwete wacha kuagizwa na wabunge na wanachi vilevile katoa ahadi nyingi tu.
Lakini hakuna hata moja amefanya yeye anangojea amalize siku zake ziiishe na pensheni kubwa tu kajitayarishia na legacy ya kushinda mara zote mbili uchaguzi
 
Huyu jamaa ndio maana muwakilishi wa Tanesco kakimbia....
Awamu ya kwanza...its ok sio mbaya.
Awamu ya 2...ovyoovyo
Awamu ya 3...kibabe
Awamu ya 4...nakuwekea kiporo...ni ya kisanii..unasema hiki, unatenda hiki...

Haa yule mama watazamaji wameamua kumtolea uvivu!! Anamwaga pumba tu
 
eti awamu ya KIKWETE ya utawala ni Awamu ya wasanii- Mkinga! bye friends

Naona anampa ukweli huyo mama, kashindwa kujieleza kabisa ni msanii mtupu sijui alipewa vipi uwaziri pole san mama Simba....ningekuwa mwandishi wa magazeti kesho ningekuweka front page kwa kuwa mbumbu
 
Haki ya Mungu huyu mama simpendi, ningekuwa Mungu ningemtoa roho kwa kumpasua kichwa had miguuni na msumeno tena pole pole.
 
Mkinga akiingia bungeni its an example hiyo miongozo na taarifa zitakazoombwa sipati picha

Siyo kila mtu anaeweza kuongea vizuri, kuikosoa serikali na kujenga hoja anafaa na kupaswa kuingia bungeni, la sivyo tutakua na taifa ambalo kila mtu wa aina hiyo ataingia bungeni na mwishowe tunakua na taifa la wanasiasa watupu. Nini kitatokea kwa fani nyingine za kiutendaji zaidi?!
 
Hebu nisaidieni hapa. Bajeti ya Kenya ni zaidi ya shilingi za kitanzania trilioni 20, nchi ndogo kijiografia ingawa kiidadi inakaribiana na TZ, wametenga 20% ya bajeti yao kwa ajili ya umeme maana yake wanatoa zaidi ya bilioni 500 kwa ajili ya umeme. TZ 3% YA TRILIONI 13 za bajeti yetu ambayo karibu trilioni 3 ni za kulipia madeni .
Ongeza na hii: Tz inakadiriwa kuwa na watu 44M wakati Kenya ina watu 30M
 
jamani Watanzania ! tutaogopa kusema ukweli mpaka lini? angalia alichokuwa anaongea mama Simba pale ITV anaonekana kabisa ana nidhamu ya uoga! lets put things clear kama serikali imeshindwa kazi kwanini tufunge midomo eti kwa kuogopa watu tuliowaweka madarakani
 
mama Simba anawakilisha tabia ya watanzania walio wengi ni waoga, hawajui hata kile kinachoitwa haki yao
 
mkinga kamwaga dta za uhakika na mwongozo jinsi ya kupta umeme wa uhakika
 
tusifikiri ya   2015, tufikiri hapa tulipo tufanye nini umeme imekua 2much  wakuu wao hajui shida hii kwa uhakika.TUJUZANE LAKUFANYA.
 
Back
Top Bottom