Kipengele cha 'DINI' ktk vitambulisho vya taifa

si mara zote kuzaa sana kunaleta effect ya mara moja.Kuna issues nyingi tuu zinapelekea uzazi wa fujo usimaanishe wingi wa hapohapo.
Na mojawapo ya mambo ya mambo yanaongoza ongezeko hilo ni haya hapa.

-Ulinganifu wa idadi ya watu.
Kwa walio wengi wana uwezekano wa kutoa watu wengi wenye uwezo wa kuzaa.

-Idadi ya wenye kuweza kuzaa(fertility) na wenye hiyo nia katika watu waliopo.Idadi ya watu wenye uwezo wa kuzaa na utayari wa kuzaa.Kama ni wengi basi wanahitaji kuzaa idadi ndogo tuu ya watu kulinganisha na wengine ili wabaki kuwa wengi au kuongezeka zaidi.mfano. Kundi A na Kundi B, kundi A=2B, kundi A(wamama) likizaa wastani wa watoto 3,wanakuwa wameingiza mara 6 ya watu wenye uwezo wa kuzaa wa kundi B, kundi B likizaa wastani wa watoto 6, wanakuwa wameongeza watoto sasa na kundi la kwanza.Yaani wamama 8 wa kundi A wakizaa watoto 3 kila mmoja, na akina mama 4 wa kundi B wakizaa 6 jumla ya kila mmoja ni 24.na hivyo kutobadili sana matokeo.Na tz makundi yote watu wanapenda kuzaa ila wanatofutiana idadi.


-Idadi ya wanaopona na kufikia kuwa watu wazima.
Vifo vya utotoni, ambavyo pia vinapunguza idadi na kasi ya ongezeko pia ni kigezo.Suala la vifo vya utoto, hili linaongozwa na huduma za afya sehemu husika, maumbile, lishe, genetics etc.

-Ulinganifu wa idadi ya Vifo katika makundi husika.Kundi gani linakufa zaidi kwa magonjwa kama ukimwi, sukari, na pressure, magonjwa ya kuridhi, vurugu , etc.Zote hizi si sawa kwa waislam na wakristu.Hapa bila kusahau magonjwa ya uzao wa ndugu wa karibu.Kwa wale wanaoingia kwa lengo la kuzaa wanakuwa katik risk ya kuingia kavukavu na hivyo kupata ukimwi ambao pia hupelekea wake wengine,ambao nao kam wanaiba nje kwa watu wa jamii yao basi hujikuta wakiongeza kasi ya kuuana sana.

-Pia tamaduni za makundi husika katika huo ulinganifu.
-Mahusiano ya uzazi kati ya hayo makundi.Kundi linalozaa na lingine kwa wingi na kuchukua uzao huo.

-Kasi ya kuingiza waumini wapya.Idadi ya wakristu wanaoingia kati uislam kama familia inaweza isiwe na madhara kama idadi ya waislam wanaoingia katik ukristu.Yaani familia ya kiislam kuigia ukristu itaingia ikiwa kubwa kuliko kinyume chake.Net effect inaweza ikawa na manufaa kwa wakristu.

-Pia utii/kutotii baadhi ya sheria za dini.Kuna wakristu wanaoishi kijadi au hata kuacha baadhi ya vipengele vya dini.Hawa wamezaa na wanawake kibao nje ya ndoa.Na hawa wanashindana hata na waislam kwa idadi.

Hii pia inaweza kubadilika au kuongezewa na waumini wanaoingia kama mmojammoja.Inategemea dii gani inaigiza na kuweza wabakisa wengi zaidi.

Mwisho.Ni kwamba hizo fators hapo juu na nyingine ambazo sijaziweka kwa pamoja zinaweza kuwa na net effect tofauti sana.Kwa hiyo msiamke haraka haraka kwa vile hawa wapiga domo ,wamekurupuka na upuuzi wao wakidhani ni fact.

Asante mkuu nilikuwa najaribu kuwashirikisha wanabodi kuhusu hoja dhaifu zinazotumiwa na baadhi ya watu kuijengea uhalali hoja hii,ukweli ni kuwa wengi wa tunaobishana humu ni wakereketwa wa dini zetu lakini si waumini wa hizo hatuishi kama dini hizo zinavyotutaka badala yake tumegeuka wachumia tumbo kupitia dini.
 
utakuwa unaumwa, sensa na vitambulisho wapi na wapi, mlijitangazia mko wengi cha ajabu mnapinga vikali kipengele hicho kwa sababu kingewaumbua sasa hivi mnaleta mada za kiabunuasi kuua soo. ninyi kweli mmeishiwa hamna lolote. tangazeni tena mko wengi kuliko wapagani ila kwa waislamu mmenoa.
Vijiji vingine hata watoto na wanawake wanachinja kuku
 
ni vizuri maswala ya dini wakaachiwa waumini na viongozi wao. serikali iendelee na mambo yake, madai haya yakiachiwa yaendelee mwisho ni kuishia kwenye ugomvi kama tunavyosikia nchi zingine !
 
Asante mkuu nilikuwa najaribu kuwashirikisha wanabodi kuhusu hoja dhaifu zinazotumiwa na baadhi ya watu kuijengea uhalali hoja hii,ukweli ni kuwa wengi wa tunaobishana humu ni wakereketwa wa dini zetu lakini si waumini wa hizo hatuishi kama dini hizo zinavyotutaka badala yake tumegeuka wachumia tumbo kupitia dini.

Yeah..najua jinsi mnatatizwa na watu wenye uelewa mdogo kwa vile wanamiss misingi fulani muhimu ya kujenga fikra.Na hii inapekelekea chain reactions ya kuelekea katik ujinga.Yaani mwalimu asiye na fikra zinazompa majibu sahihi,atafundisha watu wenye mapungufu yanayozidi yake ,nao watakwenda kuwa walimu wa kiwango cha chini zaidi, na mwishowe jamii nzima inakuwa na watu wa jinsi hiyo katika level za utendaji katik nchi.Ndio nchi inakuwa na nchi kama yetu.Utakuwa na nchi ina viongozi wa dini wakatili, watu wa haki za binadamu hawayaishi hayo maisha, na watu kama akina Ponda na watu wake wanaoweza mwamini kwa sababu duni kma hii.


Itaonekana kama tusi ila, pia nchi zilizoendelea huwa wanaamini katika ubora wa "uzao" sio mbuzina mahindi tuu ndio wanatajwa kuwa na mbengu nzuri au mbaya hata binadamu hilo lipo.Wapo mbwa wa kiswahili wanazaa rundo la watoto, kati yao kama 2 au 3 ndivyo hupambana na mama mwenye njaa kuweza pata vimaziwa kidogo vya kuwapa uhai na nguvu.mwishowe hata vyenyewe huweza kufa.Wakati mbwa wa kitaalamu huzaa watoto 2-3 wenye afya tangu siku ya kwanza.

Ninachoamini ni kwamba akina Ponda na wanaowafuta ,tena wengine ni wasomi tuu watakuwa wametazama parameters chaceh sana.Na hii ni aibu kwa nchi.Hawa jamaa hata sensa ingefanyika na majibuyakawa tofauti bado wataleta fujo nyingi sana,kwamba hawayaamini.

Hawa akina Ponda sijui ni makusudi au udini umewameza, hawaoni kuwa RESEARCH ZINAONYESHA KUWA UZAO WA NDUGU WA KARIBU HUWA HULETA MADHARA SANA KATIKA UHAI WA KIUMBE KUANZIA KATIK MIMBA NA HATA BAADAYA KUZALIWA.Kwani hata kwa wanyama imeonekana kuwafanya wapate ulemavu.Na kwa binadamu ulemavu huangaliwa kwa mapana kwani binadamu pia akili ni sehemu ya ubinadamu wake.Na hili lipo hasa kwa waislam kwani ndio wanaooana watu wa karibu, pia jamii zenye kujamiia hovyo bila mpangilio na mwishowe kushindwa tambuana na hivyo kuweka uwezekano wa watoto kuja oana na kuzaa pamoja.Na hili lipo kwa waafrica wanaoibia wake gizani, au kuzaa na wake za wenzao,halafu jambo kubaki siri na baadaye wazazi kufariki, kisha watoto kuja oana.
 
shoddy mentality and shallow personality......... you started kusema mawazo sio significant, then spending time buzzing around with misguided guesswork mpaka kwenye umri, as i said before, stay off my dikc!!

God needed to create fools for the wise to coy with, and his blessing are clear as one fool "njiwa" struggles to guess umri wa mtu na life yake ... a good proof for the course!!! we had that story ya mhangaikaji aliyekua bize kuongeza zigo kichwani, akitoka jasho na kushindwa hata kuamka, lakini bize kuongeza mzigo.... alipoulizwa alijibu nini??? ule ndio upumbavu wako... umesema hiki lakini unahangaika na kile, una mzigo mkubwa sana kwa uislam, dini ya kiislamu si divisive, ni dini ya brotherhood, na haibagui.... ila wewe na laana yako ya ubaguzi na kuwashwawashwa huko nyuma basi unahangaika sana..... Jah bless

I have issues with Ponda and his divisive tactics towards the nation, Maalim Ahmed in 1982 when i was in standard five at "tarbiya til Islamiya" Mwenge once told me.... you are blessed with one thing, fighting divisive people, and i keep it to my chest forever

Ukija kingese ntakupokea kingese, ukija Kiislamu ntakupokea kiislamu........ Laanakum wahed

BTW, your attack and belittling female gender to this post tells a lot about your relationship with your mother, sister, wife and daughter... what a heist

soma na yeye huyo njiwa wa kike anaandika nini.......... sio unaangalia upande mmoja

kama ban tupigwe wote

aliyesema bastard ni nani?? siyo huyo bastard senior??

sikiliza mkuu........... ukitaka kuwa fair, approach kitu in two pronges la sivyo kaa kimya!!!

naelewa mkuu... ila huyo jamaa niachieni mimi!!! alidandia treni kwa mbele, basi wacha niendelee nae tu

Look at you !! ati msome njiwa wakati weye ndiye ulinianza ! & una comment as if you are tough guy ... you must be very lonely girl waiting for opportunity like this & try to be a keyboard worrier ..u nasty little troll...... sina huo muda .... hebu take care your own pathetic sad life ...



 






Look at you !! ati msome njiwa wakati weye ndiye ulinianza ! & una comment as if you are tough guy ... you must be very lonely girl waiting for opportunity like this & try to be a keyboard worrier ..u nasty little troll...... sina huo muda .... hebu take care your own pathetic sad life ...



blah blah lah blah blahhh
 
Usimtusi Ponda, ni zaidi ya bongo yako changanya na familia yako yote, ndio maana Zoezi limekuwa extended kwa siku 7, hujui ni kwa nini? kama unajua ni muumini wa mfumo kristo
 
ni vizuri maswala ya dini wakaachiwa waumini na viongozi wao. serikali iendelee na mambo yake, madai haya yakiachiwa yaendelee mwisho ni kuishia kwenye ugomvi kama tunavyosikia nchi zingine !

Na serikali ifute mou na makanisa maswala ya dini waachiwe wenyewe! waendeshe makanisa, hosp na shule zao za walei
 
Mambo mengine ya kiuwendawazimu! Sisi wengi, wao wachache inakusaidia nini kimaendeleo na kiimani?
 
Mjinga ni wewe uloshindwa kuelewa umuhimu na maana ya sensa. Kipengele cha dini ktk kitambulisho hakina maana yoyote kwetu wala wewe kwa sababu kitambulisho hakilengi kupeleka maendeleo kwa wananchi. Maadam nchi yetu haina dini msitake kutuaminisha kwamba hata watu wake hawana dini - tunazo na tuhesabiwe.

Si mjihesabu jamani? Mkitaka tangazeni nyie ni 98% na 2% wapagani halafu muombe kuweka sharia halafu mawaziri wote na vyoote vyeo vijulikanavyo viwe kwenu wengine wabohora, wakristo, wayahudi tuta-mute tuwapishe kuliko kuleta shari ila baada ya miezi mitatu tu mtabofoana kwa manati maana ni kawaida yenu....!
 
utakuwa unaumwa, sensa na vitambulisho wapi na wapi, mlijitangazia mko wengi cha ajabu mnapinga vikali kipengele hicho kwa sababu kingewaumbua sasa hivi mnaleta mada za kiabunuasi kuua soo. ninyi kweli mmeishiwa hamna lolote. tangazeni tena mko wengi kuliko wapagani ila kwa waislamu mmenoa.


Ubongo wako HAPPY MAKUKU, unauwezo mkubwa sana..wagalatia ni kama magamba, yanakimbilia polisikuua so! udini ni jambo kla kipumbavu sana, na uislam wangu nachukia sana udini, ponda msikilizeni kwa umakini wa kutosha
 
kama waislam wanataka lianzisha na wana amini kuwa ni wengi &huo wingi utawasaidia kwanini wasilianzishe tuu.Ya nini kutaka tumia hela haramu kuwasaidia pata huo uhakika?Wala wasizuge watu, nia yao ni kutaka leta mikosi yao kama ya india na pakistani.Nehru alianza mambo ya ponda halafu akatangaza taifa la pakistani.Wenzao india wana export IT-information technology na mengine , wao Pakistan wana export (IT) International Terrorism+drugs.Walianzishe tuu kwani pia hata wengine watafikia mahali pa kuwachoka. Spain walitawaliwa miaka 500 na uislam na kulazimishwa kuwa waislam.Siku moja wakageuza kibao na hadi leo waislam hawapendi isoma hiyo habari.Wanaliangalia kanisa la cordoba kama dhalilisho.

Huko alipo kama amelazimishwa hesabiwa au wamelazimisha mkewe au vyote au unafiki wake.Anapaswa jua jinsi anavyodhani anakaribia kupata ushindi katika serikali hii ndivyo anajiweka katika mtego mbaya zaidi.Ni bora angeendelea kula sadaka zake waislam wamhukumu kwa hilo na si ahukumiwe na wote.
 
Huo ni utoto kulumbana na mjinaga ndo maana ukweli wa kisayansi ilikuwa ni busara zaidi kujiridhisha kwa sababu maaskofu wamejitangazia na wameungwa mkono na TBC1 na TTB kwa hiyo malumbano ingekuwa ni upuuzi tu, uthibisho wa sensa ndo ingekuwa msema kweli.
Sasa hapa inaonesha wewe ndio unaumwa maana kama wao walitangazia wako wengi na sio kweli kwa nini msiwapuuze! Au nanyie mjitangaze mko wengi!
 
Hii inasikitisha sana, Tanzania tunaenda wapi na udini huu, hivi viongozi wetu wako wapi wachukue hatua za maksudi kuepusha huu udini unaoenea kama moto wa kiangazi nyikani?, Hivi viongozi wetu hawaoni kuwa udini sasa umefikia hatua mbaya?. Sasa hebu ona huyu happy makuku, kumbe shida ni kujua wepi ni wengi kati ya waislamu na wakristo sasa ukijua halafu iweje, mtangaze taifa la kiislamu au?, au ikijulikana kuwa waislamu ni wengi ndio nini?
unapouliza maswali hayo unatakiwa kujiuliza waliojitangazia wapo wengi walikuwa na dhamira ya kuitangaza tanzania Parokia au vipi, hebu tafakari kwanza mziizi wa hilo unaloongea maana naona umeikurupukia mada.
 
mashindano ya nani wengi nayasikia yakitangazwa na akina ponda lakini sijapata kusikia watu wengine wakijifaharisha kwa wingi wao! Kwa mfano ikiwa waislamu ni wengi kuliko wakristo ndo kusema makanisa yageuzwe misikiti? mbona sielewielewi hapa?
Ongea kwa uelewa mkuu, waliotangaza wapo wengi nadhani ni vema ukawauliza walikuwa wanamaanisha nn kugeuza misikiti kuwa makanisa au vipi. Pole sana kwa jicho la kengeza na kuona nyani kundule la mwenzie ila la kwake halioni.
 
Fikra za udini ni mbaya kuliko kula nyama ya nguruwe!
nakubaliana na wewe lkn chanzo cha yote hayo mzizi wake ni kina mzee makaliyadi mapengo kuhamasisha udini makanisani, vyuoni hadi majumbani, hao ndo wakulaumiwa, kwa sababu wameona waislamu ni wapuuzi miaka yote wa kusemwa hawajui kusoma, wana majini tu, wanahifadhi Qur'an tu, hawataki shule, na wapo wachache ndo maana hata mashuleni wachache, na hata kwenye ngazi za uongozi napo ni wachache kwa sababu hizo, unafikiri wanastahili haya kila siku na kwamba wawe wananyamaza tu kila siku?
 
Nilitegemea kuona wakristo wanafurahi kuona waislamu wameshika dini yao na waislamu vivyo hivyo wanafurahia kuona wakristo wameishika dini yao kwa ajili ya amani na maendeleo ya kweli kwani katika dini hizi 2 hakuna hata moja inayohamasisha ufisadi, ngono, ujambazi, au uhalifu wa aina yoyote zaidi ya kuhubiri mema na kukataza mabaya. mbona sheikh na mapadre au maaskofu hawabishani badala yake mambumbumbu wa hizi dini ndiyo vinara wa ubishi, hatujiulizi ni kwanini!? watu badala ya kuleta points tutapataje maendeleo ya kweli mnatuletea upuuzi. pambaf...
 
Back
Top Bottom