Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Mkuu! Jina si dini na Mke wako sio wa kwanza kubadilisha dini. Wapo kina Ibrahim Kiduma, Augustino Ramadhan, Mwaipopo nk. Kuhusu kuchakachuliwa, mbona uchaguzi 2010 ulichakachuliwa na JK bado ni President? Sasa kuficha/kukataa kipengele cha dini kitabadilisha dini ya Mkeo?mimi naona haya madai ya ponda .yataleta matatizo yasio kwisha .kwanini ? Mfano mimi binafsi mke wangu anaitwa Fatuma nanii mkristo kwani sasa hivi ukibadili kuingia ukristo ni mapenzi yako kubadili jina ,sasa tukihesabiwa .ponda akakuta kwenye orodha jina la Fatuma lakini dini mkristo .siataanza madai mapya kwamba sensa imechakachuliwa ?
Mh Ponda hatakwenda katika tume ya takwimu kuhakikisha majina ya watu wote waliohesabiwa na dini zao, bali tunataka tatol number ya Watanzania, wanaume wangapi na wanawake wangapi? Wakulima, wafanyabiashara, wanafunzi, wafanyakazi na watoto wangapi? Then waislam, wakristo,Rastafari, Budist, Hindu, wapagani nk wangapi? Ambapo lingekuwa jambo bora na la kisasa, kuliko huo uoga wa serikali ya ccm wa kuficha ukweli.