Kwa sababu huelewi maana ya sensa nitakusamehe.. Hivyo kama mlitaka tujihesabu kwa nini mnatulazimisha tuhesabiwe kwa mfumo wenu kama machungwa sokoni. Kama hutambui kuwepo tofauti ya Waislaam na Wakristu kwa nini unaunga mkono CSSC chombo cha kikirstu kupeleka maendeleo ya elimu na Afya kwa wananchi.Si mjihesabu jamani? Mkitaka tangazeni nyie ni 98% na 2% wapagani halafu muombe kuweka sharia halafu mawaziri wote na vyoote vyeo vijulikanavyo viwe kwenu wengine wabohora, wakristo, wayahudi tuta-mute tuwapishe kuliko kuleta shari ila baada ya miezi mitatu tu mtabofoana kwa manati maana ni kawaida yenu....!