Kikwete anaweza kuendelea kupenda sana kama ataacha politics na kufocus kwenye maendeleo ya nchi mfano.
1. Kuhusu elimu ya juu na kazi weka mkutano wa vyuo na makampuni yaliyowezeka halafu waulize je ni nini hasa mnatafuta kwa wahitimu, hivyo utakuwa umepunguza sana mizunguko ya wanafunzi wa elimu ya juu wanaomaliza bila kupata kazi.
2. Kuhusu siasa, wachallenge wabungu kuja na individual bills, kitu tofauti na mawazo ya serikali ili kuwe na mchango mpana wa mawazo mfano kuhusu afya je wabungu kibinafsi wanafikiria nini?, kuhusu uchumi na elimu je bill zao ziko wapi ambazo zinalenga maendeleo. Kwasababu wanaiga serikali kila mara wabunge wamekua hawana hoja za msingi na wanabaki kufanya shoo-off kwa kuwabana na kugombana na upizani, bunge letu lina changia sana kumrudisha nyuma kikwete.
3. Kuhusu uchumi kikwete unatakiwa kufikiria out of the box mfano fikiria kufungua productivity place na economical zone za tanzania ili uweze kujua ni sehemu gani hazifanyi vizuri na ni kwa nini?
1. Kuhusu elimu ya juu na kazi weka mkutano wa vyuo na makampuni yaliyowezeka halafu waulize je ni nini hasa mnatafuta kwa wahitimu, hivyo utakuwa umepunguza sana mizunguko ya wanafunzi wa elimu ya juu wanaomaliza bila kupata kazi.
2. Kuhusu siasa, wachallenge wabungu kuja na individual bills, kitu tofauti na mawazo ya serikali ili kuwe na mchango mpana wa mawazo mfano kuhusu afya je wabungu kibinafsi wanafikiria nini?, kuhusu uchumi na elimu je bill zao ziko wapi ambazo zinalenga maendeleo. Kwasababu wanaiga serikali kila mara wabunge wamekua hawana hoja za msingi na wanabaki kufanya shoo-off kwa kuwabana na kugombana na upizani, bunge letu lina changia sana kumrudisha nyuma kikwete.
3. Kuhusu uchumi kikwete unatakiwa kufikiria out of the box mfano fikiria kufungua productivity place na economical zone za tanzania ili uweze kujua ni sehemu gani hazifanyi vizuri na ni kwa nini?