kigulu kimoko
Member
- Oct 13, 2010
- 17
- 0
DEVIL YOU ARE RIGHT ..BUT PLEASE I BEG YOU TO DIFFER ON THIS...
we will not get any where with witch hunting....wanasema " mwarabu mbaya kiatu chake ni dawa!!!"....AFTER NYERERE ...mkapa is THE BEST PRESIDENT we have have had...pamoja na mabaya yoote yanayosemwa leo ..mkapa alifanikiwa katika mambo ya msingi..tulikuwa na uchumi mbovu kabisa..aliyeingia angehitaji kurekebisha basi makosa yake na kuongeza ufundi wake..mambo yende ...kumshitaki mkapa au kwa sababu kina jk wanazojua na mengi[mnafiki]..kumuanzishia magazeti ya kumchimba mkapa hakujaweza kutuongezea pato ka taifa hata dhumuni...hii habari ni nzito na watu wanajua fika hizi mbinu za "funika kombe.."ili tukeshe tunajadili mabaya ya mkapa na tusahau kuvurunda kwa serikali hii ni PROPAGANDA MBAYA KABISA...sio lazima ukubaliane na mimi lakini huo ndo ukweli halisi..
what i say is ya MKAPA TUMESHAYAONA ..YAKWENU YAKO WAPI WANDUGU..MSITAKE MKIONDOKA TUWAKUMBUKE KWA KUPIKA MAJUNGU..MTATUACHIA NINI WANANCHI???
honestly speaking if i pick this place to speak against mkapa then it wont be enough, i posses materials that will make you shoot mkapa on the head and feel sorry for Kikwete aisee,hili so sio jungu kaka, i never believed it till i came across the information im having, if you noticed anything envolving this guy in the parliament dies a sudden death, prime minister pinda even dared one time to say that "you will have to kill him first before he speaks anything on the matters that link mkapa directly to corruption". He did his best to fool us aisee but he is actually the worse president Tanzania ever had,huo ni mtazamo wangu kaka sio jungu.