Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
It's just a Language jamani, hivi alimaanisha au ni akili zenu fupi
Kamanda uko kama mimi
It's just a Language jamani, hivi alimaanisha au ni akili zenu fupi
Inabidi dogo mdomo wake uwe na brake
hivi kauli kwamba Rais ajaye hawezi kutoka kaskazini na kuwa jina la rais huyo analo JK haiwezi kuleta uvunjifu wa amani na sio kauli ya uchochezi mbona hakuna aliyehojiwa???
Kweli kiongozi unatakiwa kuchagua maneno na shutma za kuzitoa japo unazijua yaweza kuwa ngumu kuthibitisha.
Kweli kiongozi unatakiwa kuchagua maneno na shutma za kuzitoa japo unazijua yaweza kuwa ngumu kuthibitisha.
Daaaa kuna haja ya kuepuka siasa za majitaka kuepuka ya lusinde,mbona hoja za kuwashinda magamba ziko kibao tuu life lenyewe sio!!!
hivi kauli kwamba rais ajaye hawezi kutoka kaskazini na kuwa jina la rais huyo analo jk haiwezi kuleta uvunjifu wa amani na sio kauli ya uchochezi mbona hakuna aliyehojiwa???
Mh. Nassari ameongea kwenye taarifa ya habari ya saa mbili kwenye kituo cha ITV na kusema kuwa kama Tanzania inaweza kugawanywa na kauli za mtu mdogo kama yeye basi hii nchi haipaswi kuwepo kwani inakuwa nchi isiyokuwa na msimamo..............
hiyo wala hawajawahi sikia labda angesema mtu wa cdm wangesikia
Alafu ilikuwa je lusinde nae hakuhitajibu kuhojiwa maana yeye aliropoka yale ya ndani ya ndani ya nguo ya ndani
Mh. Nassari ameongea kwenye taarifa ya habari ya saa mbili kwenye kituo cha ITV na kusema kuwa kama Tanzania inaweza kugawanywa na kauli za mtu mdogo kama yeye basi hii nchi haipaswi kuwepo kwani inakuwa nchi isiyokuwa na msimamo..............
Nimependa ulivyo mjibu
Nimependa ulivyo mjibu
Double standards mkuu, zitaua nchi hii. Umeona mtu mwingine ametoa mfano wa ile kauli iliyowahi kutolewa na wale vijana wa Pwani chini ya usimamizi wa mwanafamilia wa familia kuwa rais ajaye hatatoka kaskazini. It was pure hate speech, incitement...