Lawrence Luanda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 703
- 75
Nimependa alivyoachiwa_ila sijapenda maneno aliyoropoka,...ajifunze kufikiri kabla ya kusema.
Kweli kiongozi unatakiwa kuchagua maneno na shutma za kuzitoa japo unazijua yaweza kuwa ngumu kuthibitisha.