DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Hata lema walimsumbua ivi hivi
Hivi ile smg ya malima kule moro alibaki nayo ama ilibaki mikononi mwa polisi.
Well hebu tufuatilie tujue what next; namshauri Dogo janja kufuata ushauri wa Mwenyekiti Mbowe alioutoa papo kwa pale katika viwanja vya unga ltd kwenye mkutano kwamba awe makini zaidi na kutafakari kwanza kauli zake hadharani na hasa kwenye mikutano yake ya hadhara ambapo magamba wanaweza kumuumiza kwa shitaka la Incitement au wakaenda mbali zaidi na kumchaji for treason ili mradi ahangaike na kesi mahakamani badala ya kuwashughulikia wananchi wa Arumeru mashariki na Arusha mjini ambalo yeye ni mbunge mlezi.
Ni lazima makamanda wote popote pale tulipo nchini tukubali ukweli kwamba kwa sasa magamba ni kama Nyati aliyejeruhiwa; kwa hoja hawatuwezi CDM; labda kama ni kujenga hoja ya ufisad!; ndio maana mlisikia mtu kama Mkapa anazungumzia udugu baina ya Baba wa Taifa na Vicent Nyerere badala ya kuzungumzia shida za wananchi wa Arumeru!! kwa hiyo silaha waliyobaki nayo at least for
the time being ni abuse of power and authority kwa kutumia vyombo vya dola kufifisha gharika linalowafuata; hiyo njama tunaijua na tumeibaini first hand katika hukumu ya kesi ya kamanda Lema, kwa hiyo we should not allow ourselves to fall in their traps kirahisi rahisi hivi. otherwise Aluta continua mpaka ukombozi kamili wa wanyonge wa Tanzania tuipendayo upatikane. stay vigilant.
Kuna wana CDM JF werevu na wenye akili!
Kumbe mnafahamu hilo?
Sparring partner wa CDM ni CCM , mkiingilia kuchezea utaifa kijinga kijinga utapewa mfupa wa sheria kuutafuna.
Hajaachiwa bado mikononi mwa polissi tokea saa nane mchana anahojiwa na kutoa maelezoNimependa alivyoachiwa_ila sijapenda maneno aliyoropoka,...ajifunze kufikiri kabla ya kusema.
Huyu Dogo awe makini sana na maneno yake.
Kuweka taarifa sawa, kilichotokea leo ni kwamba tulifika polisi kuripoti na wahusika hawakuwepo wail kuwa Kwenye mkutano na ofisi ya mkuu wa mkoa. Tulilazimika kuondoka ili Mh. Nassari aweze kuhudhuria mkutano jimboni kwake. Tukiwa njiani nilimpigia simu Naibu Kamishna wa polisi ambaye ndiye anashughulikia suala hili kumueleza kwamba tulifika kituoni. Alitutaka turudi ili Mh. Nassari aandike maelezo yake. Tulirudi na mpaka sasa ndicho anachokifanya. Shutuma dhidi yake ni kutoa kauli ambazo zingeweza kuleta uvunjifu wa amani kinyume na kifungu cha 63B cha sheria za makosa ya jinai.
Huyu Dogo awe makini sana na maneno yake.
Mkuu tunategemea utatujuza kitakachojiri baada ya Mh. Nassari kuandika maelezo yakeKuweka taarifa sawa, kilichotokea leo ni kwamba tulifika polisi kuripoti na wahusika hawakuwepo wail kuwa Kwenye mkutano na ofisi ya mkuu wa mkoa. Tulilazimika kuondoka ili Mh. Nassari aweze kuhudhuria mkutano jimboni kwake. Tukiwa njiani nilimpigia simu Naibu Kamishna wa polisi ambaye ndiye anashughulikia suala hili kumueleza kwamba tulifika kituoni. Alitutaka turudi ili Mh. Nassari aandike maelezo yake. Tulirudi na mpaka sasa ndicho anachokifanya. Shutuma dhidi yake ni kutoa kauli ambazo zingeweza kuleta uvunjifu wa amani kinyume na kifungu cha 63B cha sheria za makosa ya jinai.
Naomba awe makini
hivi kauli kwamba Rais ajaye hawezi kutoka kaskazini na kuwa jina la rais huyo analo JK haiwezi kuleta uvunjifu wa amani na sio kauli ya uchochezi mbona hakuna aliyehojiwa???
hivi kauli kwamba Rais ajaye hawezi kutoka kaskazini na kuwa jina la rais huyo analo JK haiwezi kuleta uvunjifu wa amani na sio kauli ya uchochezi mbona hakuna aliyehojiwa???