Joshua Nassari MB.

Well hebu tufuatilie tujue what next; namshauri Dogo janja kufuata ushauri wa Mwenyekiti Mbowe alioutoa papo kwa pale katika viwanja vya unga ltd kwenye mkutano kwamba awe makini zaidi na kutafakari kwanza kauli zake hadharani na hasa kwenye mikutano yake ya hadhara ambapo magamba wanaweza kumuumiza kwa shitaka la Incitement au wakaenda mbali zaidi na kumchaji for treason ili mradi ahangaike na kesi mahakamani badala ya kuwashughulikia wananchi wa Arumeru mashariki na Arusha mjini ambalo yeye ni mbunge mlezi.
Ni lazima makamanda wote popote pale tulipo nchini tukubali ukweli kwamba kwa sasa magamba ni kama Nyati aliyejeruhiwa; kwa hoja hawatuwezi CDM; labda kama ni kujenga hoja ya ufisad!; ndio maana mlisikia mtu kama Mkapa anazungumzia udugu baina ya Baba wa Taifa na Vicent Nyerere badala ya kuzungumzia shida za wananchi wa Arumeru!! kwa hiyo silaha waliyobaki nayo at least for
the time being ni abuse of power and authority kwa kutumia vyombo vya dola kufifisha gharika linalowafuata; hiyo njama tunaijua na tumeibaini first hand katika hukumu ya kesi ya kamanda Lema, kwa hiyo we should not allow ourselves to fall in their traps kirahisi rahisi hivi. otherwise Aluta continua mpaka ukombozi kamili wa wanyonge wa Tanzania tuipendayo upatikane. stay vigilant.

Kuna wana CDM JF werevu na wenye akili!
Kumbe mnafahamu hilo?
Sparring partner wa CDM ni CCM , mkiingilia kuchezea utaifa kijinga kijinga utapewa mfupa wa sheria kuutafuna.
 
Kuna wana CDM JF werevu na wenye akili!
Kumbe mnafahamu hilo?
Sparring partner wa CDM ni CCM , mkiingilia kuchezea utaifa kijinga kijinga utapewa mfupa wa sheria kuutafuna.

Mbona wezi wa rasilimali zetu hamuwaoni lakini mnawakamata wanaowaamsha waliolala?
 
Huyu Dogo awe makini sana na maneno yake.

acha woga wewe,unafikiri ukombozi unapatikana kirahisi na unajua maana ya demokrasia,majukwaa ya siasa,mbona akina mkapa hamukuwaita kuwahoji?.nawashanga sana kwanza ndo mnampaisha na kumfunya awe maarufu
 
Kuweka taarifa sawa, kilichotokea leo ni kwamba tulifika polisi kuripoti na wahusika hawakuwepo wail kuwa Kwenye mkutano na ofisi ya mkuu wa mkoa. Tulilazimika kuondoka ili Mh. Nassari aweze kuhudhuria mkutano jimboni kwake. Tukiwa njiani nilimpigia simu Naibu Kamishna wa polisi ambaye ndiye anashughulikia suala hili kumueleza kwamba tulifika kituoni. Alitutaka turudi ili Mh. Nassari aandike maelezo yake. Tulirudi na mpaka sasa ndicho anachokifanya. Shutuma dhidi yake ni kutoa kauli ambazo zingeweza kuleta uvunjifu wa amani kinyume na kifungu cha 63B cha sheria za makosa ya jinai.

Asante kamanda kwa ufafanuzi
 
Kuweka taarifa sawa, kilichotokea leo ni kwamba tulifika polisi kuripoti na wahusika hawakuwepo wail kuwa Kwenye mkutano na ofisi ya mkuu wa mkoa. Tulilazimika kuondoka ili Mh. Nassari aweze kuhudhuria mkutano jimboni kwake. Tukiwa njiani nilimpigia simu Naibu Kamishna wa polisi ambaye ndiye anashughulikia suala hili kumueleza kwamba tulifika kituoni. Alitutaka turudi ili Mh. Nassari aandike maelezo yake. Tulirudi na mpaka sasa ndicho anachokifanya. Shutuma dhidi yake ni kutoa kauli ambazo zingeweza kuleta uvunjifu wa amani kinyume na kifungu cha 63B cha sheria za makosa ya jinai.
Mkuu tunategemea utatujuza kitakachojiri baada ya Mh. Nassari kuandika maelezo yake
 
hivi kauli kwamba Rais ajaye hawezi kutoka kaskazini na kuwa jina la rais huyo analo JK haiwezi kuleta uvunjifu wa amani na sio kauli ya uchochezi mbona hakuna aliyehojiwa???

Kusema rais atoke upande gani haimaanishi kuwa unakata kipande cha nchi hivyo haiwezi kuwa sawa na kusema wewe unakuwa rais wa jamuhuri ya meru
 
Mbona hamjadili Suala la Kujitenga kama likitokea inakuwaje, zuri au baya. Hamjadili. Mmebaki kusema Nasari achunge kauli, mwingine akasema atumie brain yake, awe makini mambo mengi ila nauliza Kujitenga ni dhambi?

Pale Kahama gold inachimbwa vito vya thamani vinatoka pale lkn wakazi wa/na lile jimbo ni masikini tofauti na rasilimali zilizopo pale wanaofaidi ni wengine kina Mkapa, JK na team zao. Hao watu wa Kahama wakisema tunataka tujitenge ni KOSA?

Switch to the point siyo unasema Nasari amekosea, achunge kauli zake, atumie brain yake haisaidii chochote. Lastime ulikuja usemi kwamba Upinzani unaleta vita, lkn leo hii kila mtu anasema Pipooz Power ni nzuri. Kwa hiyo ninachosema tutafakari, tujadili suala la kujitenga lipo na linakuja
 
Tunatambua maneno ya uchochezi au yanayoweza kuvuruga amani hutamkwa na CDM CCM aaaah!wapi bwana hao ni watakatifu wa Mungu.kwani kusema Raisi ajae hawezi kutoka kaskazini au Jina la rais ajae analo JK sio uchochezi au haiwezi kusababisha uvunjifu wa amani?
 
Back
Top Bottom