democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
siku ingine wakitaka kufanya tena watuupdate ili tutoe ushirikiano,siyo vizuri kufeli kuchukua hizo dhahabu zetu alizotupa mungu kutoka kwa hao makaburu
Aisee, hii mitizamo si ya kuifagilia kabisa. Majambazi wenyewe usishangae ni wasomali au wakenya or wanyarwanda. Na walijua kabisa kwamba pale kuna walinzi, watanzania wenzao, ilikuwaje hadi wajitose na maslaha makubwa makubwa kiasi hicho kwenda kuwazuru watanzania wenzao. Wizi ni wizi tu wakuu, hakuna cha kufagilia hapa.I think next time they will come with better tactics and get away with the dough!
Hao waliokufa nawaita MASHUJAA!
Atakaye hachoki!
Hii inatisha!
hivi serkali haiwezi kuitaifisha na kumiliki migodi yote inayomilikiwa na wageni?
Hawawezi kuwapo hao, kwa nini wawepo wakati Ngereja,Jairo,Jakaya wameshachukua mgao wao,sii wamekataa kulipa kodi bwanaMhhh hizo kilo nyingi kweli! mbona sijasikia afisa wa TRA au TMAA aliyejeruhiwa...je ni free export?
Kwa mujibu wa post nilizosoma hapa,wachangiaj weng(hasa walojinasibisha na utanzania)walitaka gold ibebwe na majambaz,hili ni changam0to kwa serikali,watanzania wengi hatuwapend wawekezaj na uwekezaj,wadau boreshen sera za uwekezaji
Natamani wangefanikiwa kuiba tu.. angalau na sisi huku mitaani tungenusa kidogo hiyo hela
I see nchi inaliwa hii yaani vitofali 34 na kila kitofa kina kilo 24kg sijui TRA wapo? au wapo kwa kazi ya kufukuzana na wauza viosk mitaani?
Mhhh hizo kilo nyingi kweli! mbona sijasikia afisa wa TRA au TMAA aliyejeruhiwa...je ni free export?