omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
hii habari ni mpya na inaibua mawazo mapya pia!
Kwani katika tafsiri na uelewa wa kawaida, kati ya hawa wawili nani hasa ni mwizi!?
Na kama upande 'ulioshindwa' ni waliotaka kuzuia madini yasisafirishwe nje ya nchi ili wayafaidi wao, basi ni wapi Watz wengi wataegemea!?
Kwani katika tafsiri na uelewa wa kawaida, kati ya hawa wawili nani hasa ni mwizi!?
Na kama upande 'ulioshindwa' ni waliotaka kuzuia madini yasisafirishwe nje ya nchi ili wayafaidi wao, basi ni wapi Watz wengi wataegemea!?