Jaribio la kuiba dhahabu katika mgodi wa Geita (GGM) lazimwa

Yaani wewe ndio unajua leo kuwa ni hela hiyo?Kila wiki ndege hutua na kusubiri mzigo kama huo hivyo hesabu yako iwe ya kila wiki mara mwaka.
 
kwahiyo;
40bil x 4x12= 1920 Billions kwa mwaka. Na GGM ilianza kazi toka 2000 sina hakika kwa hili, japo inaweza ikawa kabla ya hapo.
kwahiyo 1920 billions x 11 (miaka)= 21,120 billions Tzs.
Hii ni hatari sana. Na kwasasa Serikali haina hata pesa ya kuendeshea hata vyuo vyake na vingine vimefungwa tayari (tazama gazeti la Mwananchi la leo), pia Madaktari wanaodai haki zao wanaachishwa kazi? Waalimu nao wana madai kibao?
HAKIKA SERIKALI YETU NI JANGA LA KITAIFA.
 
kwahiyo;
40bil x 4x12= 1920 Billions kwa mwaka. Na GGM ilianza kazi toka 2000 sina hakika kwa hili, japo inaweza ikawa kabla ya hapo.
kwahiyo 1920 billions x 11 (miaka)= 21,120 billions Tzs.
Hii ni hatari sana. Na kwasasa Serikali haina hata pesa ya kuendeshea hata vyuo vyake na vingine vimefungwa tayari (tazama gazeti la Mwananchi la leo), pia Madaktari wanaodai haki zao wanaachishwa kazi? Waalimu nao wana madai kibao?
HAKIKA SERIKALI YETU NI JANGA LA KITAIFA.

Hiyo ni Geita tu.

Kuna Bulyanhulu, North Mara, Nzega, Buzwagi n.k.
 
kwahiyo;
40bil x 4x12= 1920 Billions kwa mwaka. Na GGM ilianza kazi toka 2000 sina hakika kwa hili, japo inaweza ikawa kabla ya hapo.
kwahiyo 1920 billions x 11 (miaka)= 21,120 billions Tzs.
Hii ni hatari sana. Na kwasasa Serikali haina hata pesa ya kuendeshea hata vyuo vyake na vingine vimefungwa tayari (tazama gazeti la Mwananchi la leo), pia Madaktari wanaodai haki zao wanaachishwa kazi? Waalimu nao wana madai kibao?
HAKIKA SERIKALI YETU NI JANGA LA KITAIFA.

21,120,000,000,000 .... a year has 52 weeks mkuu, na hizo ndege huwa zaja hata mara 2 kwa wiki, average tuchukulie huja 100 times a year instead of 110 times,lets take a marginal number of 90 times a year, kila turn moja inabeba mzigo wa hiyo 40Bil Tsh..... nayo tuwapunguzie iwe 38 Bil Tsh worthy of gold bars,
38 X 90 =3,420,000,000,000
3.420 Trillions!!! a year!!! mgodi mmoja!!! MAAAYOOOOO NEEEENEEEEEE!!!!!!!
haya tena tufanye 3 trillions kwa kila mgodi, ipo migodi zaidi ya mitano!!
3 tril X 5 = 15 trillions a year, 2 more billions to this fiscal year budget!!!
tena tuwafanyie hiyo 15 trillions iwe 12 trillions a year, kwa hiyo miaka ambayo hii migodi imeanza ku operate, lets say ilianza 2005, thats 5 years by average,
jibu linajulikana, ...daaaah!! kweli hiyo nchi ni shamba la bibi
 
Magamba nomaa,nadhani ktk uchimbaji wa dhahabu tu tungemaliza matatizo yote yanaisibu Nchi yetu.We have lose our dignity,my God.
 
Mie naona tufike mahali tuseme basi kuibiwa na majambazi weupe kwa jina la wawekezaji.
Kwa uelewa wangu mwekezaji ni yule anaye jenga viwanda, majumba ya kupangisha/mahoteli n.k na sio hao wachukuaji wa mali ya yetu ya asili wanaoitwa wawekezaji. Je hao wawekezeji wao wameshajenga hata jengo moja kubwa hapa nchini ili kama muda wao ukiisha waweze kuacha hata ukumbusho zaidi ya kutuachia mashimo?
Mfano hawa makaburu wa Tanzanite one kwa hapa Arusha hawana hata banda la kuku la kujenga wenyewe zaidi ya kukodi majengo ya watu, na yale majengo yaliyoko Mererani waliyakuta yamejengwa na SAMAX.
Ukweli ni kwamba mali ya mtz inatoroshwa nyingi sana yaani ukijua idadi yake unaweza pata presha bure.
 
ukifikiri kwa makini sana unaweza hitimisha kuwa yule muisrael yuko sahihi!!
 
Mkuu Mtambo wa Chuma,

Je unaweza kutuwekea picha zinazoonehs hali halisi ya mji wa Geita na vitongoji vyake angalau kwa sisi ambao hatujawahi kufika huko tuone jinsi mchimbaji huyo wa dhahabu alivyosshahu majukumu yake likiwemo la angalau kuujuenga mji huo.

Mji wa Geita na miji mingine yenye machimbo na migodi ya madini ni miji ambayo ilitakiwa iwe ndio inayoongoza kwa kutoa ajira, kipato kwa wananchi, biashara, uingizaji mkubwa wa hazina ya taifa na mambo mengine mengi tu.

Mkuu Mwanakijiji kama nimemwelewa vizuri pale anaposema ni ukosefu wa "intelligence" yaani uelevu anamaanisha kwamba ni pale ambapo serikali , mkuu wa mkoa , mkuu wa wilaya, mkurugenzi wa maendeleo, meya au diwani wa Geita na afisa mipango miji, wote wameshindwa kabisa kuifanya Geita kuwa super Town achilia mbali super City.

"Intelligence" inaangaliwa kwenye uongozi, mwono, mwelekeo kwamba je unaelekea wapi na nini matokeo yake. Kwa wale wote walopewa dhamana na majukumu ya kuongoza, inaonekana wazi kwamba suala la "intelligence" halizingatiwi ama na wanaowachagua au wanaoangalia mwemnendo mzima wa uendeshaji.

Tujiulize leo hii nchi ya Brazil imeipita nchi ya Uingereza moja ya nchi tajiri duniani kwenye orodha ya nchi tajiri duniani na kuwa juu yake. Lakini suala la intelligence linaingia kwa baadhi ya waingereza kuhoji uhalali wa "overtake" hiyo.

Jibu ambalo ni zuri la lenye kunyamazisha mtu yoyote ambalo linatolewa ni kwamba nchi ya Brazil inauza sana nje bidhaa ambazo zinazalishwa na kutengenezwa nchini humo kuliko inavyoingiza.

Sasa madini yanachimbwa nchini mwetu hatuoni faida yake hata kule katika miji ambayo madini hayo yanachimbwa.

Kakweli hali hii ni mbaya sana.
 
Kama majambazi wanaweza kuiiba hiyo dhahabu na kwenda kuuza, kwanini sisi wenyewe hatuwezi kufanya hivyo hadi kaburu aje?

Ni kweli hao majambazi will come up with a better one, however na hao makaburu nao watatumia mabilioni mengine kujijengea ulinzi, haya mambo ya kuchota haya madini na kuondoka nayo pia noumer kwa sana, sijui kwanini zisiwe proccessed hapo hapo, tena hilo lingekuwa mojawapo ya sharti kwa wanaotaka kuwekeza kwenye madini.

Sasa yanapochimbwa na kuondolewa haraka haraka inakuwa kama na wao wanayaiba vile, hakuna amani.


Nina Wasi Wasi Sana Na Uelewa Wako Kuhusu Maswala Haya.....
 
kama ilivyokuwa imesemwa hapo awali kuwa kiasi kilichokuwa kinapakiwa kilikuwa zaidi ya tani moja lakini juzi nilisikia ofisa (sijui wa madini) akitoa ufafanuzi. Nadhani wanataka waseme kuwa kiasi cha dhahabu kinachoendana na kile kilichoandikwa kwenye makaratasi huku wakijua ni uongo maana ukweli ulisemwa na watu waliokuwepo kwenye tukio kwa kushuhudia masanduku waliyoyaona.
Sitaki niamini kuwa nchi hii tumelaaniwa!!!!
Hivi hizo dhahabu wanavyo pakia na kuondoka nazo juu kwa juu kunakuwepo maafisa wa TRA, TBS, Usalama wa Taifa na watu wengine?
Kifupi ni kuwa raia wakakamavu leo wameshindwa katika jaribio la kuokoa rasilimali iliyokuwa ikiibiwa kwenda SA basi!
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom