GOOD ATTEMPT. Kama waliofanikisha kulizima sakata hilo ni WATANZANIA, KIFO HALALI YAO. Nategemea waliohusika kuzima watanzania kuchukua MADINI YAO kuwa ni wazungu tu, kwani wanapeleka kwao
I see nchi inaliwa hii yaani vitofali 34 na kila kitofa kina kilo 24kg sijui TRA wapo? au wapo kwa kazi ya kufukuzana na wauza viosk mitaani?
twashukuru kwa habari hii ila kuna mada kama hii imeshawekwa tangu asbh ungeunganisha habari yako,zitafute utaona.
That is one week shipments. Folks this shipment is done every week. Currently one ounce is sold $1608. 1 ounce = 31.1g. It means 1g of gold is $51.7042. 1kg of gold=$51704.2. 30 bricks of gold x 24 = 720Kg.I see nchi inaliwa hii yaani vitofali 34 na kila kitofa kina kilo 24kg sijui TRA wapo? au wapo kwa kazi ya kufukuzana na wauza viosk mitaani?
Ningeweza kukugongea like "1000" ila basi tu kwa kuwa MoD wanaruhusu moja.Natamani wangefanikiwa kuiba tu.. angalau na sisi huku mitaani tungenusa kidogo hiyo hela
Ni dalili ile ile ya failure of intelligence! Think about it.