Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
By default kama inaperform vizuri hadi kupata barua ya pongezi ujue ina connection na kanisa, na sio msikiti.
Kuna msikiti pale Soko la Kilombero Arusha, watoto wa umri huo wanafundishwa Judo na Karate, ukipita jirani unasikia Huu-haaa! Najiuliza hatima ya hao watoto itakuwa nini.
Wakati huo wenzao wako darasani wanakata mapythagoras theorem na schrodinger`s theorem.
Mbavu sina. Nimecheka sana.