Dr Slaa Kuwa Mgeni Rasmi Mahafali Darasa la Saba Queens' Schools

Bila shaka utakuwa ni mdau wa elimu hizi za kilanguzi. Bila ya chombo kama SUMATRA nauli za maBASI na daladala sasa hivi zingekuwa wapi? Bila ya EWURA bei za mafuta na maji ya DAWASA zingekuwa wapi? Kwa nini unapinga tusiwe na chombo cha ku-regulate ELIMU yetu? Unadhani ni kwa nini shule za umma zimekuwa hivi zilivyo sasa? Enzi zangu mimi kwenda Private School ilikuwa ni aibu. Ni mjinga. Umefeli!
Mimi nadhani tu regulate tu sector ambazo hazina ushindani. Elimu kuna shule zaserikali na sector
Tubadilike. Sio kila kitu tukiweke sokoni kama nyanya. Suala la ELIMU kwa nchi yoyote ile makini haliko kama ilivyo hapa kwetu sasa. Tuna-regulate simu tunaacha ELIMU! Unafurahia mtoto kumaliza darasa la saba bila kujua kusoma wala kuandika?
Nadhani tu tu regulate sectors ambazo hazina ushindani. Elimu inaushindani sana kuna shule za serikali na binafsi na ada zinatofautiana sana hakuna sababu ya regulations
 
Bila shaka utakuwa ni mdau wa elimu hizi za kilanguzi. Bila ya chombo kama SUMATRA nauli za maBASI na daladala sasa hivi zingekuwa wapi? Bila ya EWURA bei za mafuta na maji ya DAWASA zingekuwa wapi? Kwa nini unapinga tusiwe na chombo cha ku-regulate ELIMU yetu? Unadhani ni kwa nini shule za umma zimekuwa hivi zilivyo sasa? Enzi zangu mimi kwenda Private School ilikuwa ni aibu. Ni mjinga. Umefeli!

Tubadilike. Sio kila kitu tukiweke sokoni kama nyanya. Suala la ELIMU kwa nchi yoyote ile makini haliko kama ilivyo hapa kwetu sasa. Tuna-regulate simu tunaacha ELIMU! Unafurahia mtoto kumaliza darasa la saba bila kujua kusoma wala kuandika?

Kuunda hizo unaziita sumatra za elimu ni udhaifu! We have rules and regulations of which we have to follow! If you are intending to open a school you have to meet a rules and regulations za wizara husika! Kuna guidelines ambazo wanapewa. So kuongeza hiyo EWURA yako ni kumwongezea mlaji mzigo! Tatizo mnaweka viongozi wasiokuwa na elimu tosha ndo maana mnakimbilia kuunda chombo cha kuzibiti. Ukiona mfuga mbwa ananunua myororo wa ziada anaazimia kumzibiti mbwa wake. We kaa na yale yale MPANDA NGAZI HUSHUKA.......Utasubiri sana ashuke!
 
Nadhani tu tu regulate sectors ambazo hazina ushindani. Elimu inaushindani sana kuna shule za serikali na binafsi na ada zinatofautiana sana hakuna sababu ya regulations
Kosa kubwa hilo. Hizi ada za kilanguzi wanazotoza ndizo zimewawezesha kuchukua WALIMU wote wazuri kutoka shule za serikali. Sasa hivi mtoto wa shule ya serikali bila tuition ya ziada hafiki kokote. Kwa kuwa miradi hii ya Private Schools inaendeshwa na wakubwa serikalini akina Lowasa, shule za umma zinahujumiwa waziwazi ili watu wafanye biashara ya elimu. Tunaelekea kubaya.
 
Kuunda hizo unaziita sumatra za elimu ni udhaifu! We have rules and regulations of which we have to follow! If you are intending to open a school you have to meet a rules and regulations za wizara husika! Kuna guidelines ambazo wanapewa. So kuongeza hiyo EWURA yako ni kumwongezea mlaji mzigo! Tatizo mnaweka viongozi wasiokuwa na elimu tosha ndo maana mnakimbilia kuunda chombo cha kuzibiti. Ukiona mfuga mbwa ananunua myororo wa ziada anaazimia kumzibiti mbwa wake. We kaa na yale yale MPANDA NGAZI HUSHUKA.......Utasubiri sana ashuke!
Biashara hii ya ELIMU isipodhibitiwa ni bora tu tubinafsishe hizi shule za serikali. Hali ni mbaya. Hujuma ziko wazi kama zile za mgao wa kubumba wa umeme ili watu wafanye biashara ya mafuta mazito na kuleta akina Richmond na majenereta ya kukodi. Nchi hii kushindanisha kitu cha UMMA na kile cha binafsi wakati viongozi wa umma ndio hao wamiliki wa shule binafsi ni kichekesho!
 
Biashara hii ya ELIMU isipodhibitiwa ni bora tu tubinafsishe hizi shule za serikali. Hali ni mbaya. Hujuma ziko wazi kama zile za mgao wa kubumba wa umeme ili watu wafanye biashara ya mafuta mazito na kuleta akina Richmond na majenereta ya kukodi. Nchi hii kushindanisha kitu cha UMMA na kile cha binafsi wakati viongozi wa umma ndio hao wamiliki wa shule binafsi ni kichekesho!

Mbwa uliyemfuga usipomlisha atahamia jalala la jirani. Waalimu wana elimu wanajua na wanaona! Hebu walipeni mshahara bora! Maslahi sahihi muone kama watabanduka shuleni walikopangiwa.
 
By default kama inaperform vizuri hadi kupata barua ya pongezi ujue ina connection na kanisa, na sio msikiti.
Kuna msikiti pale Soko la Kilombero Arusha, watoto wa umri huo wanafundishwa Judo na Karate, ukipita jirani unasikia Huu-haaa! Najiuliza hatima ya hao watoto itakuwa nini.
Wakati huo wenzao wako darasani wanakata mapythagoras theorem na schrodinger`s theorem.

Sio pale Karibu na Soko la Kilombero tu bali hata katika shule ya Sekondari Bondeni hapo Arusha, ukifika mida ya jioni utakuwa watoto wadogo wanafundishwa judo. Ni kelele za huuuu - haaaaa kuanzia jioni hadi usiku. Sielewe hawa watoto wanajisomea saa ngapi na sijui kwa nini ndugu zetu wanapenda sana judo. Tafakari!
 
Sio pale Karibu na Soko la Kilombero tu bali hata katika shule ya Sekondari Bondeni hapo Arusha, ukifika mida ya jioni utakuwa watoto wadogo wanafundishwa judo. Ni kelele za huuuu - haaaaa kuanzia jioni hadi usiku. Sielewe hawa watoto wanajisomea saa ngapi na sijui kwa nini ndugu zetu wanapenda sana judo. Tafakari!


Na wa kujitoa muhanga watafundishwa katika shule zao hizo! Itikadi kali za hao wenzetu zinaanzia huko madrasatul.
 
.

Wananchi wote mnakaribishwa na hasa wale wenye watoto wanaotarajia kujiunga mwaka 2013. Shule hii ilipewa cheti cha pongezi mwaka jana kufaulisha wanafunzi wote na inafanya vizuri sana katika taaluma.

Kwani hii shule ni ya seminari ya kikatoliki?
 
Dr Slaa atakuwa mgeni rasmi katika mahafali ya darasa la saba Queens' schools (Nursery and Primary) iliyopo Ukonga Dar es Salaam.
Shule hii ilipewa cheti cha pongezi mwaka jana kufaulisha wanafunzi wote na inafanya vizuri sana katika taaluma.

bila shaka ni ya watu binafsi hii ?
Anyway itakuwa lini ?

Naifahamu mtoto wangu alisoma pale alifanya vizuri sana. ndio ni ya binafsi na ni English Medium.

Si ya kanisa, kwanini wazo linalokujia ni kwamba shule ni ya kanisa?

By default kama inaperform vizuri hadi kupata barua ya pongezi ujue ina connection na kanisa, na sio msikiti.
Kuna msikiti pale Soko la Kilombero Arusha, watoto wa umri huo wanafundishwa Judo na Karate, ukipita jirani unasikia Huu-haaa! .

Nauliza hivi shule za Msikiti ziko wapi jamani, nataka nimpeleke mwanangu huko!
Na je ufaulu wake ukoje?

wivu mubaya sana! Kwani na nyie madrasa zenu za karatee hamgradurate ili mumuaalike shek ponda?

Kuna hizi: Al-Haramain, Kirinjiko Islamic, AT-TAAUN ISLAMIC GIRLS, AL-KHEIR ISLAMIC GIRLS, MUDIO ISLAMIC, THAQALAIN ISLAMIC, ARAFAH ISLAMIC, AHLULBAYT ISLAMIC, MHUMBU ISLAMIC, ZUHRA ISLAMIC, AL-FURQAAN ISLAMIC, LUQMAN ISLAMIC, WALIUL ISLAMIC BOYS, KHAIRAAT ISLAMIC, MARKAZ ISLAMIC, et. al. halafu zote zina hadhi SEMINARY! Ha ha ha ha ha!

Kupitia hizo replies nimejifunza mambo mengi sana. Asante Yesu nimezaliwa MKRISTO
 
Nauliza hivi shule za Msikiti ziko wapi jamani, nataka nimpeleke mwanangu huko!
Na je ufaulu wake ukoje?

unataka akajfunze judo na karate..
Kumbuka kukiwa na kesi za kina ponda shule hufungwa kwenda kupgania dini
 
Hana jipya huyo akawahutubie hao hao darasa la saba sio mtu akili zake kumsikiliza yeye
 
Back
Top Bottom