perfomance kila mtu anaijuaperformance yao iko vipi mkuu
perfomance kila mtu anaijuaperformance yao iko vipi mkuu
hahaha yale yale madrasa ni shule sema kwa lugha tofauti, ni sawa sawa na school na shule naona hilo hulijui, halafu hizo karet na judo utajua faida yake soon ww kunywa tu bia na jumapili nenda kanisani kanywe divai na mkate wa kinyesi sio mm msemaji ni biblia, halafu sooner than u thnk utakuja kuona nchi inaongozwa na kina nani
Asante kwa taarifa.
Hiyo shule itakuwa ya kisasa sana na Walimu wake wana akili.
Kwa kuwa ratiba yake imekuwa ngumu amemtuma Dr mkumbo amwakilishe.Dr ndio ameshawasili na sherehe imeanzaDr Slaa yupo Igunga na leo atakuwepo Ziba, kwenye mahafali hatakuwepo lini.