We lazima utakuwa kiliza si bure!
Mkuu bora umfundishe mwanao peke yako nyumbani kulikoni kumpeleka hizo shule...Nauliza hivi shule za Msikiti ziko wapi jamani, nataka nimpeleke mwanangu huko!
Na je ufaulu wake ukoje?
kuota ni lazima uwe umelala sasa wewe da@hahaha yale yale madrasa ni shule sema kwa lugha tofauti, ni sawa sawa na school na shule naona hilo hulijui, halafu hizo karet na judo utajua faida yake soon ww kunywa tu bia na jumapili nenda kanisani kanywe divai na mkate wa kinyesi sio mm msemaji ni biblia, halafu sooner than u thnk utakuja kuona nchi inaongozwa na kina nani
Pamoja na kwamba wanatoa elimu bora sana bado ada ziko chini sana. Nakumbuka mwaka juzi mwanangu nilikuwa namlipia laki nane kwa mwaka sidhani kama imepanda sanaHebu tudokeze kidogo kuhusu karo yake kwa mwaka. Najua itakuwa inazidi kwa mbali ile anayolipa mwanachuo wa UDSM! Ni lini tutakuwa na chombo kama TCRA(kwenye mawasiliano), SUMATRA(kwenye usafiri na uchukuzi), EWURA(kwenye nishati na maji), ..., kwenye ELIMU yetu? Au kwa kuwa hii ni miradi ya wakubwa?
ndio maana wamesema shule ?
Ingekuwa sio ya kanisa c ungeona wameandika Dr slaa kuwa mgeni rasmi madrasa ?
Jiongeze kufikili ?
kwani nini great thinker ?
Mkuu bora umfundishe mwanao peke yako nyumbani kulikoni kumpeleka hizo shule...
By default kama inaperform vizuri hadi kupata barua ya pongezi ujue ina connection na kanisa, na sio msikiti.
Kuna msikiti pale Soko la Kilombero Arusha, watoto wa umri huo wanafundishwa Judo na Karate, ukipita jirani unasikia Huu-haaa! Najiuliza hatima ya hao watoto itakuwa nini.
Wakati huo wenzao wako darasani wanakata mapythagoras theorem na schrodinger`s theorem.
Dr Slaa kakosea kuwa mgeni rasmi shule hizi za kitapeli na kifisadi. Wanaomudu karo za shule hizi ni mafisadi, matapeli na wanaSIASA wetu. Labda kama naye ana hisa kwenye shule hii!Mkuu tunaomba kufahamishwa kama fomu za Form I 2013 zinapatikana. Hadi Dr. Slaa kakubali kuwa mgeni rasmi, hiyo shule lazima itakuwa ya mfano.
st marys ambazo ndio wanaoiba umeme sana haopa nchini,st peter wanaoiba mitihani sana hapa nchini na junior seminary inayotoa mapadre sana hapa nchini ambao wengi kwa sasa ni viongozi wa chadema
wivu mubaya sana! Kwani na nyie madrasa zenu za karatee hamgradurate ili mumuaalike shek ponda?
Laki nane kwa mwaka! Hiyo itakuwa ni Day School na gharama za usafiri humo hazimo! Dr Slaa, zungumza kidogo kuhusu shule hizi zinavyojenga matabaka ya nguvu ndani ya nchi yetu wenyewe. Hili unalionaje utakapokuwa Rais wetu mwaka 2015?Pamoja na kwamba wanatoa elimu bora sana bado ada ziko chini sana. Nakumbuka mwaka juzi mwanangu nilikuwa namlipia laki nane kwa mwaka sidhani kama imepanda sana
Ataenda na mke wake rose kamili au hawara ake josephine?mkuu tujuze tafazali
ngoja niulize bt napenda kujua kama padre slaa atakuwa na mke wake rose kamili au hawara yake josephine
Si ya kanisa, kwanini wazo linalokujia ni kwamba shule ni ya kanisa?