Dr Slaa Kuwa Mgeni Rasmi Mahafali Darasa la Saba Queens' Schools

hahaha yale yale madrasa ni shule sema kwa lugha tofauti, ni sawa sawa na school na shule naona hilo hulijui, halafu hizo karet na judo utajua faida yake soon ww kunywa tu bia na jumapili nenda kanisani kanywe divai na mkate wa kinyesi sio mm msemaji ni biblia, halafu sooner than u thnk utakuja kuona nchi inaongozwa na kina nani
Kwani sasa hivi nchi inaongozwa na akina nani?
 
Tunaogopa akisilimu atakosa haya kiasi cha kupanda haya vitoto vya miaka 9. Si unakumbuka vile marehemu alifanya?

Ha ha ha ha ha ha! Mkuu marehemu alikuwa kiboko; alikilipia mahari kikiwa na miaka 6 halafu akaanza kukitandika fimbo za kiutu uzima kilipofikisha miaka 9 kamili eti ndio baadaye kilikuja kujulika kama mama wa waumini! Hili zee hakika litaingiza roho nyingi sana Jehanam.
 

Ha ha ha ha ha ha! Mkuu marehemu alikuwa kiboko; alikilipia mahari kikiwa na miaka 6 halafu akaanza kukitandika fimbo za kiutu uzima kilipofikisha miaka 9 kamili eti ndio baadaye kilikuja kujulika kama mama wa waumini! Hili zee hakika litaingiza roho nyingi sana Jehanam.
Naomba tujadili hoja hizi hazitusaidii kuijenga Tanzania mpya
 
Hebu tudokeze kidogo kuhusu karo yake kwa mwaka. Najua itakuwa inazidi kwa mbali ile anayolipa mwanachuo wa UDSM! Ni lini tutakuwa na chombo kama TCRA(kwenye mawasiliano), SUMATRA(kwenye usafiri na uchukuzi), EWURA(kwenye nishati na maji), ..., kwenye ELIMU yetu? Au kwa kuwa hii ni miradi ya wakubwa?

Bwana wee acha kuleta siasa kwenye elimu! Wakati mawaziri, wabunge, wanasiasa wa ngazi za juu, wakurugenzi na mameneja walioteuliwa na rais wako wanaweza kuwapeleka watoto wao nje ya nchi kusoma chekechea kuwaanda kuja kuingoza nchi hii wanayoamini kuwa ni yao na siyo yetu sote! Sisi tuna wanatufungulia shule za kata ili tuendelee kubakia kuwa maamuma wanywa mbege. Wanaendelea na kuomba tusione mwanga ili wao wale vilivyosalama na safi wakati sisi kila kipande cha mhogo kimejaa mchanga!
Wakati wao wanawaandaa watoto wao kupanda V8 sisi wanatuandalia treni zile ambazo mabehewa yamechooka pale stesheni.
Ndugu yangu ni bora tuendelee kupambana tuwapeleke watoto wetu kwenye shule hizi unazozifikiria za ghali angalao wakaone mwanga kuliko kutafuta hiyo sumatra ama TCRA yako ambayo inakufanya leo miaka hii kupanga foleni ukisubiria mafuta. Hizi sumatra, tcra nk zimesaidia nini zaidi ya kuongeza mzigo kwa wananchi?

Kwa taarifa tu shule kama ISM pale Moshi IST pale dar fees unazungumzia 15,000$ kwa mwaka. We utamudu kweli? Kama sio wale wenye uwezo wa kununua nyumba 700,000$?

Kwa taarifa tu ni kuwa hawataki hata mwende shule na wakianzisha hiyo sumatra yao ni kiama kwenu!
 
Kesho Dr slaa atakuwa (w) Igunga kijiji cha ziba katika mkutano wa hadhara, je,kairisha ?? nijuzeni.
 
Dr Slaa yupo kaw maslahi ya Watanzania wote .Habagui wala hachagui, hana makeke na anachojali ni mafanikio ya Taifa.
 
Dr Slaa leo yupo Igunga vijijini kwenye mkutano jioni, kesho saa 4 asubuhi baada ya kutoka Kanisani ndio mahafali yanaanza atakuja na Chopa.
 
Bwana wee acha kuleta siasa kwenye elimu! Wakati mawaziri, wabunge, wanasiasa wa ngazi za juu, wakurugenzi na mameneja walioteuliwa na rais wako wanaweza kuwapeleka watoto wao nje ya nchi kusoma chekechea kuwaanda kuja kuingoza nchi hii wanayoamini kuwa ni yao na siyo yetu sote! Sisi tuna wanatufungulia shule za kata ili tuendelee kubakia kuwa maamuma wanywa mbege. Wanaendelea na kuomba tusione mwanga ili wao wale vilivyosalama na safi wakati sisi kila kipande cha mhogo kimejaa mchanga!
Wakati wao wanawaandaa watoto wao kupanda V8 sisi wanatuandalia treni zile ambazo mabehewa yamechooka pale stesheni.
Ndugu yangu ni bora tuendelee kupambana tuwapeleke watoto wetu kwenye shule hizi unazozifikiria za ghali angalao wakaone mwanga kuliko kutafuta hiyo sumatra ama TCRA yako ambayo inakufanya leo miaka hii kupanga foleni ukisubiria mafuta. Hizi sumatra, tcra nk zimesaidia nini zaidi ya kuongeza mzigo kwa wananchi?

Kwa taarifa tu shule kama ISM pale Moshi IST pale dar fees unazungumzia 15,000$ kwa mwaka. We utamudu kweli? Kama sio wale wenye uwezo wa kununua nyumba 700,000$?

Kwa taarifa tu ni kuwa hawataki hata mwende shule na wakianzisha hiyo sumatra yao ni kiama kwenu!
Bila shaka utakuwa ni mdau wa elimu hizi za kilanguzi. Bila ya chombo kama SUMATRA nauli za maBASI na daladala sasa hivi zingekuwa wapi? Bila ya EWURA bei za mafuta na maji ya DAWASA zingekuwa wapi? Kwa nini unapinga tusiwe na chombo cha ku-regulate ELIMU yetu? Unadhani ni kwa nini shule za umma zimekuwa hivi zilivyo sasa? Enzi zangu mimi kwenda Private School ilikuwa ni aibu. Ni mjinga. Umefeli!

Tubadilike. Sio kila kitu tukiweke sokoni kama nyanya. Suala la ELIMU kwa nchi yoyote ile makini haliko kama ilivyo hapa kwetu sasa. Tuna-regulate simu tunaacha ELIMU! Unafurahia mtoto kumaliza darasa la saba bila kujua kusoma wala kuandika?
 
Back
Top Bottom