Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Mama .
Nyie wabunge mkiwa Bungeni mnalipwa posha kila siku. Je huko anawalipa nani Posho? na vipi hao wnaowahamasisha wanalipwa na nani? au ndio kuwadanganya watu wakati nyie mpo kazini?
Unawaza kulipwa tu,angalia usije "nunuliwa" na wewe pia
Uh,njaaa,lunch time