Chadema ndani ya mji mdogo wa Katoro/Buseresere

Una uhakika na unacho kinena?

Muulize Padri Slaa atakuonyesha sponsor wote wanaomdhamini

Waumini huchanga pesa kwa njia ya zaka na sadaka kupeleka Roma siyo Roma kutoa pesa kupeleka kwa waumini, labda kuwe na maafa hapo pesa huweza kutolewa kusaidia walioathirika kwa kupitia shirika lake la misaada la Caritas. Ukiwa na mawazo ya kupewa badala ya kutoa utakufa maskini wa kutupwa.
 
Mama .

Nyie wabunge mkiwa Bungeni mnalipwa posha kila siku. Je huko anawalipa nani Posho? na vipi hao wnaowahamasisha wanalipwa na nani? au ndio kuwadanganya watu wakati nyie mpo kazini?
Kweli hafifu kichwani kwako. Fundisho kwa wengine majina yanaumba. Jamaa kajita hafifu na kweli si mnaona hazitoshi.
 
msisahau kigoma kuweka mambo sawa kwa mheshimiwa Zito na Kafulila tunataka mkoa mzima uwe kamabi ya cdm
 
inaonesha mkutano utakuwa mzuri sana kwani maandalizi mazuri yamefanyika.baadhi ya wabunge tuko hapa twiga lodge tunasubiri muda ufike.jana nako chato mambo yalikuwa mazuri sana.
hongera napend sana unavyotupa habari
 
Waumini huchanga pesa kwa njia ya zaka na sadaka kupeleka Roma siyo Roma kutoa pesa kupeleka kwa waumini, labda kuwe na maafa hapo pesa huweza kutolewa kusaidia walioathirika kwa kupitia shirika lake la misaada la Caritas. Ukiwa na mawazo ya kupewa badala ya kutoa utakufa maskini wa kutupwa.

Huyo kalishwa cocaine na al-qaeda hawezi kukuelewa hata umueleweshe vipi
 
CCM wapeleke hoja Bungeni ya kufuta ruzuku ya vyama vya siasa hata kama na wao wataathirika. Inaelekea CDM hawafanyi kosa na ruzuku yao; ruzuku inatumika kuibomoa CCM kisawasawa. Dawa ya kukomesha haya maandamano na mikutano ya CDM isiyosha ni kuwaondolea uwezo wa mapato. CCM wao si wana vyanzo vingine vya mapato kama viwanja vya mipira na majengo!!!!

mkuu usifikirie CCM na Chadema tu!!!!tanzania tuna vyma vilivyosajiliwa,18 na vi 5 kati ya hivyo vinafaidika na ruzuku. Sidhani km hii ni ruzuku...ebu jiulize wakati wa operation Sangara ruzuku ya CHADEMA ilikua kiasi gani?
 
Wadau wapenda maendeleo nipo ktk mji mdogo wa katoro mpakani mwanza na kagera hali ni ya mashamsham utafikiri anakuja cjui nani maana hata rais huwa cio hivi,muda mfupi ujao kutakuwa na maandamano na mkutano wa hadhara,hii ni wakeup cal kwa cheyo,wasira, nk wanaowatia hofu wtz,kwa hali ilivyo naomba serkali ifate ushauri wa kuwakamata ili iwe rahisi kuiondoa madarakani.pipooos pr ni noma

sisi tulijua wametufungia mikotano yetu, duh safi sana wadau tupo pamoja.
 
hivi mh.regia, kuna uwezekano wowote mkapishana njiani na msafara wa PM, Pinda? Cpati picha jinsi wananchi walivyowakubali halafu itokee mpishane nae, maana kaamriwa na jk awafuate huko huko ili awadhibiti msiendelee kutia mchanga kitumbua chake. Sijui ataficha wapi uso wake, maskini mtoto wa mkulima!

Mtoto wa mkulima hana jeuri ya kufuta walichofanya CHADEMA kanda ya ziwa sana sana anaenda kuwajaza watu chuki zaidi. watu wana njaa wewe unapeleka ahadi za misosi hewa, hatari sana.
 
Chadema Silaha yao kubwa katika mikutano yao ni Uongo, uzushi na kufarakanisha watu na Serikali yao kwa nia ya kuleta machafuko makubwa nchini..

Hatuko pamoja nanyi

we unawatukana watz,ina maana hawana maamuzi yao wenyewe??wanaona hali ngumu ndo maana wanahudhuria mikutano
 
mkuu usifikirie CCM na Chadema tu!!!!tanzania tuna vyma vilivyosajiliwa,18 na vi 5 kati ya hivyo vinafaidika na ruzuku. Sidhani km hii ni ruzuku...ebu jiulize wakati wa operation Sangara ruzuku ya CHADEMA ilikua kiasi gani?

Kwa hiyo ni pesa ya mihadarati au?
 
Watakao changa Cash, TRA watawapelekea assessment ya kodi kubwa ili kuwapunguzia huo uwezo wa kuchangia CDM

Watawezaje kuwafahamu, mbona hiyo assessment hawaiwaipeleki kwa Saboko, naomba nikumbushwe jina la yule kada wa ccm aliyechangi CDM 200 m
 
tunawatakia kila la kheri, Mungu awabariki sana. msisahau kwenda na kule Tanga pia, hasa Lushoto maeneo ya Mlalo, natarajia kuwa mbunge wa jimbo la Mlalo Lushoto 2015 kupitia CDM

Mkuu ujumbe wako tumeupata..kutangaza nia mapema ni muhimu kama alivyofanya Rev Masanilo hapo siku za nyuma.
Tunaahidi kukusaida kwa hali na mali..
Ila usipotee..
 
vipi ule mpango wa mahakama ya kadhi umeishia wapi?Shehe mkuu amewasaliti?Mimi nataka ije Shariah kabisa ila iwe ya waislam tu ili nijionee ni wanani watabadili dini fasta.

Heshima kwako Marytina,

Lakini igharamiwe na waislamu si kodi zetu,
 
Wakati wa kampeni ya Uchaguzi, CCM ilitumia muda mwingi sana kuviita vyama vya upinzani kuwa vyama vya msimu au vyama vya uchaguzi. Sasa vyama hivyo vimeanza kufanya kazi full time! CCM inalalama nini tena? Hizo wanazofanya Chadema ndo siasa zenyewe na kwa hali inavyoonesha vurugu hazina nafasi hadi hapo serikali inapoamua kutumia polisi kuanzisha vurugu.

Sasa Chadema wanafanya siasa, basi na CCM wafanye siasa, si kulalamika kuwa eti Chadema inaikosanisha na wananchi. CCM inatarajia Chadema wafanye siasa gani kama si kuisema yale inayoshindwa kutelekeleza? Ukishindwa kutekeleza yale uliyoahidi ndo mtaji wa wapinzani wako na majukwaa ndo mahali pa wapinzani kupatumia.

CCM nayo, badala ya kutumia viongozi wa serikali, isimame kama CCM na waitetee serikali yake; hzo ndo siasa za kistaarabu. Kuendelea kulalamika kwa CCM kunaonesha kuwa hawako tayari kuona vyama walivyokuwa wakiviita vya msimu au vya uchaguzi vikiwa vya kudumu! Siasa ndo hizo, majukwaani. Kote wananchi wanatoka wanacheka na kuiona CCM chama cha wapuuzi. Badala ya CCM kutaka kutumia nguvu ya dola kuleta vurugu, waumize vichwa, na watafute majibu ya hoja za Chadema waende kwa wananchi wawaambie.

CCM wana midomo mingi sana! Lakini wakisimama wenyewe kama CCM wanajua kuwa hawana mvuto ndo maana wanalalamika. Lakini ulalamishi wao hauna uhalali wa kimkakati kwani wao ndo wamekuwa wakiongoza kwa kukejeli vyama vya upinzani kuwa vya msimu au vya uchaguzi. Sasa hizo ndo siasa za kudumu na Chadema haitakiwi walale! Waendeleze harakati hizo hadi 2015, CCM ikiendelea kulalamika tu, itavuna mabua. Wakitumia nguvu za dola ndo wamekwisha kabisa kwani watasakamwa na dunia nzima. Njia pekee ni wao kutumia majukwaa kama Chadema kueleza ya kwao; swali ni je yanaelezeka? Wanaweza kusimama mbele ya watanzania na kuwaambia kuwa Dowans ni halali? Au kuwa EPA haukuwa wizi?

Hapo ndo pagumu, ila inatakiwa wazoee kuwa siasa za upinzani za kudumu walizokuwa wanaziomba ndo zimeshaanza hizo! Fungate walilokuwa nalo toka 1992 mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa ndo limeisha rasmi! CCM wake up, or sleep for ever!

Ujumbe ni mzito..hao akina wasira na wote waliotumwa na mkwere wanaonekana wako out of touch kama boss wao.
Kamwe wao na kizazi chao hawawezi kuamka tena..time is out
 
Chadema Silaha yao kubwa katika mikutano yao ni Uongo, uzushi na kufarakanisha watu na Serikali yao kwa nia ya kuleta machafuko makubwa nchini..

Hatuko pamoja nanyi

Wakishaleta Machafuko Makubwa ni nani atafaidika? Fikiri kabla ya kuandika mtanzania mwenzangu!!!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom