Ndo maana ana sura kama sokwe
Huo siyo wa kwetu, wa Sokwe wenzake huo
Ndo maana ana sura kama sokwe
reality ni kwamba hawataki katiba mpya,na hawatataka kamwe!Sasa ni dhahiri kuwa suala la katiba mpya bado ni tatizo na ninawashauri wapinzani kuwa ilani yao ya 2015 liwe priority namba 1 kwani CCM wanaamini kuwa katika ndiyo constituency yao, bila ya katiba inayowapa madaraka ya kuchakachua kura hawatashinda uchaguzi wowote ule. Na hawako tayari kuachia nchi bila misukosuko. Hii self serving mentality inaliangamiza taifa.
MSWADA unasomwa kwa mara ya 2, angalia TBC1, spika anatetea mswada kusomwa kwa mara ya 2.
Kazi ipo
Sasa ni dhahiri kuwa suala la katiba mpya bado ni tatizo na ninawashauri wapinzani kuwa ilani yao ya 2015 liwe priority namba 1 kwani CCM wanaamini kuwa katika ndiyo constituency yao, bila ya katiba inayowapa madaraka ya kuchakachua kura hawatashinda uchaguzi wowote ule. Na hawako tayari kuachia nchi bila misukosuko. Hii self serving mentality inaliangamiza taifa.
jamani hayo makofi ya magamba ya nini! hawa ni wakuchinja tuu