ossy
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 872
- 143
anajipendekeza sana huyu mama! anataka nini kwa mkuu wa kaya?Anasema suala la kutunga katiba ni vizuri likasimamiwa na rais. Anatoa mifano ya kenya, Zambia na uganda ambako tume iliundwa na rais. Hapa magamba wanapiga makofi sana.