Bungeni: Muswada wa katiba mpya wasomwa

Naona Deus Kibamba kimemshuka kudadadeki. Mbwembwe nyiiiiiiingi kumbe hakuna kitu, sasa hebu tuone hayo maandamano yake.

Tulia dogo tuachie wakubwa tuikomboe nchi naona bado unaharufu ya maziwa ya mama
 
Mh.Mnyika Katiba mpya ilikuwa hoja yako binafsi lakini ukapokonywa na magamba, tunakutegemea sana na timu yako mutuongoze kuukataa muswada wakiwashinda muje mtueleze tuingie barabarani.Kikwete hawezi kutuibia halafu atutungie katiba
 
ngoja nikae kimya maana naonaeo kuna kulimwa ban ya milele...kuna mtu kasema waziri ana sura kama sokwe hapo juu.mhhhh ngoja nikae kimya mie
 
asema ulikuwa kwenye stage ya kusomwa kwa mala ya kwanza sasa hivi inasomwa kwa mala ya pili.kamuita mtoa hoja asome mswada wake.anayesoma ni wazili wa sheri mh.selina kombani.Mia

Uandishi wa namna hii hunichosha sana kusoma na kunifanya nipoteze ladha ya kusoma hata kama kilichoandikwa kina point.. Kuanzia kichwa cha habari cha mtoa mada hii kero tupu.

Mods unganisheni hizi topic zimeshakuwa tatu au zaidi na zote zinaongelea kitu hicho hicho.. Plz
 
Nchi hii ina kela sana, bora niende zangu Somalia nikashirikiane na AL SHABAB (Wazee wa sambusa)
 
hivi inakuwaje serikali inashindwa kusikiliza watu wake?kwa nini wasikae mezani na wanaopinga isisomwe?hawa jamaa wanajisahau sana'kiburi hicho
 
Hapa tuandamane mpaka kuchwe tusiwasubiri hao kina deus wa jukwaa la katiba'tuanze kesho haiwezekani mama sokwe(makinda) atoe maoni ya upande fulan kabla ya mswada'hatuwezi kuvumilia huu upuuzi
 
Mmemwona bi kiroboto na sasa ni Kombaini anaongea, anasema wanasoma kwa mara ya pili leo.... anawaponda wanaoongea kwenye midahalo... sasa mie ambaye so mwanasheria najiuliza...Hivi hao woooote akina Prof. Shivji, Warioba, Kanyau, wanaharakati wooote hao akina Nkya, Kibamba and the like hawajui kuwa huu ni mswada au katiba?...mbona bi kiroboto, wasiiira na wereeema wanatuchanganya?
MASLAI BINAFS!i
 
Anasema suala la kutunga katiba ni vizuri likasimamiwa na rais. Anatoa mifano ya kenya, Zambia na uganda ambako tume iliundwa na rais. Hapa magamba wanapiga makofi sana.
 
anataja nchi za jirani tume zao ziliundwa na marais wao'hapa kwetu wamemsoma rais wao wakaona hana uwezo wa kufanya hivyo
 
kuna yule mama wa politoko sayansi jana kwenye mdahalo alimponda sana kombani..
 
Anasema nafasi ya vyama vya siasa na taasisi zilizosajiliwa zihamasishe wananchi kupiga kura za maoni. Taasisi za kimataifa haziruhusiwi. Amerudia kuwa ni kuhamasisha kupiga kura tu.
 
Hivi specific issues ni maoni ya jumla? Huyu mama kweli hazimo
 
Back
Top Bottom