Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,310
- 105,641
Tutaongea weee... lakini ukweli uko palepale, Anna/Anne hafai, hawezi na hatapata uspika wala unaibu spika... labda kubeba ile fimbo kila siku
Unajua Kikwete kaharibu kila kitu nchi hii, Kikwete alivyofanikiwa kuwa rais basi kila mtu anataka kuwa kila kitu, kuanzia Zamaradi kutaka kuwa mbunge kama feel good confidence building therapy mpaka Anna Kilango-Malecela anapotaka kuwa Spika wa bunge.
It's open season, kinachotakiwa ni ambition tu, ambayo kila mwanasiasa na mtoto na mjukuu wake wanayo. Uwezo si jambo la msingi.