William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Wakuu,
Hebu kwa mara ya kwanza baabada ya miezi mitatu bila kuchangia hapa na mimi nichangie.
Tulishakataa maswala ya personal vendata kuyachanganya na mambo ambayo hayawezi kuathiri utendaji wa mtu kazini.
Tume-bend kwenye personal Issues na kusahau credibility muhimu zinazoweza kumkwaza mtu au kumwezesha mtu kuwa spika wa Bunge letu ambalo linatakaiwa kuwa pro-wananchi jinsi inavyopaswa
- Mkuu wangu Ben, maneno mazito sana haya, yazingatiwe!
William.