William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
labda kama FACTS zako unazipata kwenye michuzi nitakubaliana na wewe, Kilango hana sifa zinazotakiwa na CCM; kwani CCM wameshafanikiwa kuizima kambi ya Malecela, Jemedari Makamba is one who run the show, whether you like it or not she will never be speaker, CCM had enough of Malecela crap.
- Contradictions, Mama Kilango hana sifa zinazotakiwa na CCM lakini huwezi kuzisema hapa kama FACTS, unasema CCM wamezima kambi ya Malecela, lakini Mama kilango amepita kwa kuchaguliwa kuwa mbunge tena kupitia CCM, unasema Mkamba is running the show ni kweli ndio maana kwa mara ya kwanza Chadema wamefundisha adabu CCM, unasema she will never be a Spika maana anayeutoa ni wewe ha! ha! ha! unasema CCM had enough of Malecela's crap, lakini Mama Kilango Malecela bado ameshinda kupitia CCM hiyo hiyo, ha! ha! ha! unajua this coming from a Great Thinker inafurahisha sana.
William.