BREAKING
Mchambuzi mashuhuri wa masuala ya Kisiasa na Kiuchumi na aliyekuwa Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) bwana Ibrahim Jeremiah achukua fomu ya kuwania nafasi ya Ujumbe wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi kupitia Viti 15 vya Tanzania Bara,
Ibrahim Jeremiah amechukua fomu hiyo akiwa ameambatana na familia yake akiwemo mkewe na watoto wake,
Kiongozi huyo alipoulizwa kuhusu kuchukua fomu hiyo alijibu kwa kifupi, namnukuu
"Chama kimeita Askari wake,
Nimefika kuitikia wito"
Jeremiah ni miongoni mwa Vijana wa CCM wenye Umahiri mkubwa katika kuzungumza!
Mchambuzi mashuhuri wa masuala ya Kisiasa na Kiuchumi na aliyekuwa Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) bwana Ibrahim Jeremiah achukua fomu ya kuwania nafasi ya Ujumbe wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi kupitia Viti 15 vya Tanzania Bara,
Ibrahim Jeremiah amechukua fomu hiyo akiwa ameambatana na familia yake akiwemo mkewe na watoto wake,
Kiongozi huyo alipoulizwa kuhusu kuchukua fomu hiyo alijibu kwa kifupi, namnukuu
"Chama kimeita Askari wake,
Nimefika kuitikia wito"
Jeremiah ni miongoni mwa Vijana wa CCM wenye Umahiri mkubwa katika kuzungumza!