Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
======Mkuu safari ni safari,wabunge siyo machifu kwamba lazima awe wa kabila la eneo analowakilisha. ndiyo maana Joseph Mbilinyi (mkinga) ni mbunge wa mbeya mjini kwa wasafwa!
Kweli kabisa. Hata Rage ni Msomali lakini yuko Tabora.