Machapisho mawili ambayo yote yanalenga ujumbe mmoja wa kushughulikia changamoto ya afya ya akili kazini ambayo ni muongozo mpya wa kimataifa wa WHO kuhusu afya ya akili na uwajibikaji kazini na tamko la pamoja la kisera la WHO na ILO, yanakadiria kwamba takriban siku bilioni 12 za kazi hupotea...
Provoking Russia into a nuclear exchange while Russia has the best anti-ICBM missile systems is like getting into a gun fight with an opponent who is carrying the world’s best ballistic shield
It is like the psychopathic NWO western leaders are begging for annihilation.
Russia’s recent...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limezitaka Nchi mbalimbali kuendelea kuchukua hatua za kupambana na Ugonjwa wa UVIKO19 kwa kuwa takwimu za maambukizi zimeshuka kwa kiwango cha chini kuliko wakati wote tangu Machi 2020.
Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus licha ya kutotaja namba...
Ningependa kujua sheria yetu hapa nchini inawajibisha vipi watu waliohusika na mauaji.
Endapo wahusika watakua wawili
1/Anayetaka mauaji yatendeke, huyu ndio anabeba sababu na kwa upande mwingine anamlipa mtu ili atekeleze.
2/Anayefanya mauaji.
US actor Shia LaBeouf, who was raised around both Jewish and Christian traditions, reveals to Bishop Robert Barron that he converted to Catholicism after being cast in the titular role for an upcoming movie about Italian monk Padre Pio.
LaBeouf, 36, said he stayed in a monastery as part of his...
Kwa mujibu wa ripoti ya WHO, magonjwa yasiyo ya kuambukiza huua Zaidi ya watu milioni 41 kila mwaka, hii ni sawa na asilimia 71 ya vifo vyote vinavyotokea duniani.
Magojwa ya moyo na mfumo wa damu ndiyo huongoza kwa kusababisha vifo ikifuatiwa na saratani, magonjwa ya mfumo wa fahamu Pamoja na...
Shirika la Afya Ulimwenguni limesema kuwa halijashangazwa na ripoti ya kwanza iliyotolewa hivi karibuni inayoonesha kuwa mbwa ameambukizwa ugonjwa wa homa ya nyani kutoka kwa binadamu aliyekuwa anaishi naye.
Kwa mujibu wa Dr. Rosamund Lewis, kiongozi wa jopo linalofuatilia kwa ukaribu ugonjwa...
Vifo vinavyotokana na ugonjwa wa homa ya ini vimeripotiwa Kuongezeka kwa kasi barani Afrika.
Pia, baadhi ya nyaraka zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinaonesha kuwa idadi ya visa vya ugonjwa huu vimefikia zaidi ya milioni 90.
Ukweli wa taarifa hizi upoje?
More than 91 million Africans live with Hepatitis B or C, which are the deadliest strains of the virus, according to a World Health Organisation scorecard.
The Viral Hepatitis Scorecard 2021 looks at data from the African region but focuses on Hepatitis B and C, both of which cause liver...
Vikao vya mara Kwa mara ofisini vinaboa na mara nyingi hivyo vikao ni useless na vinapenda kuzungumzia kazi zinazotakiwa kufanyika badala ya kufanya hizo kazi.
Tunapoteza muda mwingi kufanya vikao unategemea kazi zangu nitafanya saa ngapi?
Najua managers wameajiriwa ili kuongeaongea lakini...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa linakuja na mpango mbadala wa kutoa chanjo ya kujikinga na COVID-19 kwa kuamua kuweka kipaumbele katika Nchi au maeneo hatarishi ya watu kuambukizwa Ugonjwa huo.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya kushindwa kufikia lengo la chanjo kusambaa kwa 70% katika...
Wataalamu wa Afya wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wamekutana kujadiliana kuona kama kuna ulazima wa kutangaza Monkeypox kuwa hali ya dharura kiafya.
Hicho ni kikao cha pili ambapo inaelezwa kuwa kuna watu zaidi ya 15,400 walioripotiwa kupata maambukizi ya Virusi hivyo katika Nchi 71 tangu...
WHO is planning to keep the pandemic going for 10 years, pushing new diseases if necessary
The globalists in the World Health Organization (WHO) are preparing to unleash the next infectious disease to keep the world under control until at least 2030.
This is according to Marion Koopmans, a...
Mganga alitu peleka kwenye chumba maalumu na kwenye chumba hicho kulikuwa na kinyago mfano wa mtu limefunikwa kitambaa chekundu kama jezi ya Simba kisha akatuambia kila mmoja afunue kitambaa hicho na atamuona mtu anae mroga na kumrudisha nyuma kimaendeleo...
Mimi nilicho kiona ndio hicho hapo...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa zaidi ya watoto Milioi 25 wamekosa kupata chanjo mbalimbali za magonjwa tofauti kutokana na mlipuko wa Virusi vya Corona vinavyosababisha Ugonjwa wa UVIKO-19.
Ripoti ya WHO na UNICEF imeonesha baadhi ya magonjwa yaliyokosa chanjo tangu mlipuko utokee...
Shirika la Afya Duniani, (WHO) limeonya kuwa Afrika inakabiliwa na hatari ya kuongezeka ya milipuko ya Magonjwa, ambayo huenea kutoka kwa Wanyama hadi kwa Binadamu kwa asilimia 60 kwa zaidi ya miaka 10 iliyopita
Kesi nyingi zimehusisha Virusi vya Ebola, Magonjwa mengine ya Virusi ya Kuvuja...
Binti murembo sniper wa Brazil katandikwa na mashambulizi ya anga ya Russia. Huu MZIKI WALI Canadian Elite sniper aliukimbia halafu karembo kanaenda eti kuongeza CV😅😅😅😅
Nb: chombo kilichoripoti ni cha UK kwaio usije na porojo za kunihoji mimi
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇
An elite sniper and former...
Habari wanaJamiiForums..!!
Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.
We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kuwa mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.
Mtaje tu..😊
NB: Please, Crushes...
Kenyans are always great!
=====
Roots Party presidential candidate, Professor George Luchiri Wajackoyah, now nicknamed 'Wajackoyah the fifth', paints the image of a reggae artist, what with his durags and professed love for the holy herb.
Since declaring that he will be running for...
Shirika la Afya Dunuani limesema kuwa Ugonjwa wa Monkey Pox utapatiwa jina jipya kwa kuwa jina la sasa linaambatana na unyanyapaa
FUATILIA
========
Monkeypox to get a new name, says WHO
Yesterday 6:34 PM
The World Health Organization says it is working with experts to come up with a new name...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.