ndege za serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Serikali kuleta ndege mpya nchini Machi 26, 2024

    Ndege mpya ya Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), Boeing 737-9 Max, inatarajiwa kuwasili nchini Machi 26 mwaka huu kutokea nchini Marekani, hii itakuwa ndege ya 14 kutoka ATCL.
  2. BARD AI

    Watumishi 8 Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA) wafunguliwa mashtaka 48

    Kupitia shauri la Uhujumu Uchumi namba 26/2023 lililofunguliwa Juni 2023 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar, ambapo washtakiwa waliokuwa waajiriwa TGFA, walisomewa mashtaka 48. Mashtaka mengine waliyoshtakiwa nayo ni pamoja na Kuendesha Genge la Uhalifu, Kughushi, Kuchepusha...
  3. Ileje

    Mhandisi John Nzulule Mtendaji Mkuu wa Wakala wa ndege za serikali amekua akishirikiana na nani?

    Bila shaka yo yote huyu Mhandisi John Nzulule aliyetenguliwa na Rais si mara yake ya kwanza kutupiga katika ununuzi wa ndege za serikali. Nadhani ametupiga katika ununuzi wa ndege serikali na pia ndege za ATCL ambazo zimekuwa zikinunuwa na serikali kukwepa kukamatwa na wadeni wa ATCL huko majuu...
  4. KASULI

    Tanzania tuendelee kuteketeza kodi au tuachane na masuala ya usafiri wa ndege za Serikali?

    Kwa mujibu wa taarifa iliyovhapishwa katika Gazeti la Kingereza la The Eastern ni kwamba ndege za Airbus 220 zote zimepakii, mbaya zaidi kuna ambayo imepakii tokaa mwezi January 3, iliyofataa ilipakii august na ya mwisho imepaki nov 5. Kuna kupindi ATCL Waliamua kupunguz safari kwa sababu...
Back
Top Bottom