mdada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. stakehigh

    Truong My Lan mdada alieiba asilimia 3% ya Gdp ya vietnam

    Truong My Lan mdada alieiba asilimia 3% ya Gdp ya vietnam https://www.youtube.com/watch?v=__nTGfQi9N0
  2. Swahili AI

    Imebidi nihamie kwangu ghafla kumkwepa mdada kausha damu

    Wakuu poleni na mishe za hapa na pale. Sio mwandishi mzuri sana. Nimeona leo nishee nanyi kisa cha kumalizia chumba kimoja kwenye mjengo wangu mpya kumkimbia huyu singo mama. Mwaka jana mwezi wa sita nilikutana na huyu bidada mrembo wa kuvutia kwa nje mahala ambapo nilikua nikienda mara kwa...
  3. Rayvanny wa jamiiForums

    Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo

    Yani Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo.
  4. P

    Msaada wenu hapa wakuu. Kuna mdada nmemtongoza kanambia anamchumba leo mwaka umepita, bado anaendelea kusogea karibu yangu

    Nikimwita gheto anakuja, akiniomba msaada nampa. Nampenda sana huwa nikimwuliza anasema "nakupenda lakini shida ni yule mtu nilienae". Nifanyeje ili nmpate wakuu?
  5. politicians

    Amesoma clinical medicine/Co anatafuta kazi hospitali au pharmacy na yupo Dar

    Habari wakuu! Mdada amesoma (clinical medicine/clinical officer)anatafuta kazi hospitali au pharmacy na yupo Dar. Kwa yeyote anayeweza kutoa msaada mawasiliano hayo hapo 0654983243.Asante sana.
  6. R

    Natafuta mdada wa kazi ambaye anaishi kwa kunyanyasika alipo kwa sasa

    UPDATE: Ameshapatikana mdada mbarikiwe. Anahitajika mdada wa kazi Kazi ni Dar. Nyumba ya watu 2. Anapewa kipaumbele anayetokea mazingira magumu au ambaye anaishi kwa manyanyaso kwa bosi wake wa sasa. Kwenye hii familia ataishi vizuri kwa uhuru na ushirikiano bila manyanyaso huku akisaidizana...
  7. Eli Cohen

    Hivi yule mdada aliodai kuzaa na Lowassa aliishia wapi?

    Siasa ni nzuri kama upo upande wa walioshikilia mpini wa jembe tofauti na hapo utalimwa sana.
  8. C

    Hofu ya kupata HIV baada ya kufanya ngono nzembe na mdada niliekutana nae siku 1

    Habarini wna JF ni matumaini yangu nyote ni wazima wa afya tele, ningependa ku share hii experience wakati nikiendelea kuishi kwa hofu sana baada ya kukutana na mdada ambae ni muathirika baada ya kumpima. Story iko hivi nilikutana na mdada sehemu akiwa na rafiki yangu pamoja pia na dem wa...
  9. CONTROLA

    Mdada anaejua kazi za saloon

    Kama kichwa kinavyosema nahitaji mdada anaejua kazi za saloon (ya kike) Kuosha wateja Kuweka Dawa Kusuka Misuko Tofauti Make Up kwa wateja Kubana styles tofauti Na Nyingine nyingi ambazo atakua ana uelewa nazo. Saloon ni MPYA imekamilika inahutaji tu mtu wa kazi. OFISI/SALOON ipo MBEZI...
  10. U

    Fool me once shame on you, Fool me twice shame on me, Nimemkamata binti wa dukani kaniibia kwa mbinu aliyoniibia mwanzo, Kazi hana mshahara umekwenda

    Ukinitapeli mara ya kwanza aibu iwe kwako unaenifanyia hayo mabaya, lakini ukinipiga mara ya pili kwa style ile ile nikiwa na utimamu wa kujua kinachoweza kutokea basi aibu iwe kwangu, Niliapa sitoweza kuangukia kwenye mtego wa jaribio la kwanza kwa mara ya pili. Niliweka binti wa kazi...
  11. Rayvanny wa jamiiForums

    Mdada siku moja moja toka nje ujipitishe pitishe angalau uonekane

    Mdada unaetafuta mume usijifungie ndani toka angalau nje ujipitishe pitishe uonekane huwenda ukampata mwenzio, alafu ukiwa unatembea tembea usiwe unatembea haraka haraka na ukiitwa itikia siyo unakuwa kama bubu. Alafu ukitafutwa usiuluze namba yangu umeitoa wapi mume hapatikani hivyo changamka...
  12. monotheist

    Je huyu mdada anafaa kuwa mke?

    Nina mpenzi wangu kutoka kaskazini (mchaga) ambaye kwa sasa tumetimiza mwaka 1 katika mahusiano huyu dada ni mpambanaji haswaaa nimemkuta na biashara yake hivyo anajimudu SIFA ZA HUYU DADA 1. Si mtu wa vizinga nazani kwa sababu ana biashara yake kuna muda akija nitembelea gheto nikimaliza...
  13. N

    Nifanye nini niongezeke uzito?

    Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani. Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
  14. M

    Ukiona Mdada anakusalimia basi jiandae kwa haya yafuatayo

    Amekwama - anataka msaada wa pesa aka maokoto Amepotea - anataka mtu wa kumwelekeza sehem anayoenda Malizia.... Bandugu tusalimie sio hadi mkwame ndo mnarudi kutusalimia - tutawapotezea!
  15. KJ07

    Pongezi kwa mdada Mentor Cherry, muathirika wa VVU anayetoa elimu kuhusu masuala yanayohusu VVU

    Salaam Wakuu, Katika pitapita zangu za hapa na palehuko mjini instagram nimekutana na mdada mmoja ambaye ameni inspire sana kutokana na kitu alichoamua kufanya kwa jamii ya watanzania. Jina lake halisi sijalifahamu bado ika la instagram ni Mentor_Cherry. Sasa kwa harakaharaka nimegundua kuwa...
  16. 7jero

    Mdada wa kazi ya Upishi Zanzibar

    Habari zenu ndugu na jamaa katika jukwaa hili Mdada wa kazi anahitajika Bububu, Zanzibar. Majukumu yake: Kupika tu Vigezo: 1. Awe anafaham lugha ya kiingereza. Anaowapikia wanatumia lugha ya kiingereza kama njia pekee ya mawasiliano. 2. Awe mkristu 3. Awe msafi 4. Ajue kupika vyakula mbali...
  17. S

    Embu nipeni elimu - Mdada kaachia kojo

    Yaani mengine ni siri ila ,sasa naanza kupata wasiwasi kuwa wanaake ninaopata ni wagonjwa ,inakuwaje tupo katika heka heka nyumba ya pili wanasikia ila gafla ,kijanajike anaachia kojo zito na kuchafua kila kitu na hapo huwa kesharizika au sijui keshachoka ,nawashangaa au itakuwa sijui...
  18. Balqior

    Mdada anaejiuza Shivaz Arusha, kakutwa amenyongwa gesti

    Hii habari nimeiona Millard Ayo, wazee baada ya hili tukio Shivaz, kuna usalama kweli sasa hivi hapo, si patakuwa panawaka moto. Doria za 24 hours za polisi plus malaya wengine kuhama hiyo sehemu Inakuaje unamnyonga mtu halafu unakimbia, story doesn't add up. --- Wakizungumzia tukio hilo...
  19. chuma jr

    Anahitajika msichana wa kusimamia ofisi ya miamala

    Anahitajika msichana wa kusimamia ofisi ya miamala ya Tigopesa. Vigezo awe na uzoef kwenye kazi hiyo au uzoef katik tasnia ya uwakala. awe mtu wa kujituma na mwenye lugha nzuri kwa watu wote. asiwe mtu wa hasira au dharau. awe na uwezo wa kujisimamia mwenyewe na kupangilia mambo katka ofisi...
  20. Balqior

    Tafakuri binafsi: Wakati unamhudumia mdada kipesa, ushawahi kutafakari hili

    Mfano, wewe mwanaume una hela, Unasukuma gari nzuri kiasi, laki mbili tatu za bata kila wiki hazikupigi chenga, una kazi nzuri na biashara, una nyumba nje ya mji, kibongobongo watu tunaassume umetoboa.. Unakutana na binti maisha yamemchapa, kwasababu unampenda, unamtakatisha kwa kumpa vihuduma...
Back
Top Bottom