maji dar

The Maji Maji Rebellion (German: Maji-Maji-Aufstand, Swahili: Vita vya Maji Maji), was an armed rebellion of Islamic and animist Africans against German colonial rule in German East Africa (modern-day Tanzania). The war was triggered by a German policy designed to force the indigenous population to grow cotton for export and lasted from 1905 to 1907, during which 250,000–300,000 died.
After the scramble for Africa among the major European powers in the 1880s, Germany reinforced its hold on several formal African colonies. These was German East Africa (Tanzania, Rwanda, Burundi, and part of Mozambique), German Southwest Africa (present-day Namibia), Cameroon, and Togoland (today split between Ghana and Togo). The Germans had a relatively weak hold on German East Africa. However, they maintained a system of forts throughout the interior of the territory and were able to exert some control over it. Since their hold on the colony was weak, they resorted to using violently repressive tactics to control the population.Germany levied head taxes in 1898 and relied heavily on forced labor to build roads and accomplish various other tasks. In 1902, Carl Peters ordered villages to grow cotton as a cash crop for export. Each village was charged with producing a quota of cotton. The headmen of the village were left in charge of overseeing the production, which set them against the rest of the population.
The German policies were very unpopular, as they had serious effects on the lives of the natives. The social fabric of society was being changed rapidly. The social roles of men and women were being changed to face the needs of the communities. Since men were forced away from their homes to work, women were forced to assume some of the traditional male roles. Also, the fact that men were away strained the resources of the village and the people's ability to deal with their environment and remain self-sufficient. In 1905, a drought threatened the region. All that, as well as opposition to the government's agricultural and labour policies, led to open rebellion against the Germans in July.The insurgents turned to magic to drive out the German colonizers and used it as a unifying force in the rebellion. A spirit medium named Kinjikitile Ngwale, who practiced Folk Islam that incorporated animist beliefs, claimed to be possessed by a snake spirit called Hongo. Ngwale began calling himself Bokero and developed a belief that the people of German East Africa had been called upon to eliminate the Germans. German anthropologists recorded that he gave his followers war medicine that would turn German bullets into water. This "war medicine" was in fact water (maji in Kiswahili) mixed with castor oil and millet seeds. Empowered with this new liquid, Bokero's followers began what would become known as the Maji Maji Rebellion.
The end of the war was followed by a period of famine, known as the Great Hunger (njaa), caused in large part by the scorched-earth policy advocated by Gustav Adolf von Götzen.

View More On Wikipedia.org
  1. Lycaon pictus

    Siku ya maji duniani. Ujenzi wa lile bwawa la vidunda la kumaliza shida ya maji Dar umefikia wapi?

    Leo ikiwa siku ya maji duniani. Lile bwawa walilisema litamaliza shida ya maji Dar na Pwani ujenzi wake umefikia wapi?
  2. Intelligence Justice

    Maji Dar ni Shida isiyomithilika wakati Mto Ruvu umejaa!

    Wana jukwaa Kama kichwa cha mada kinavyojitanabahisha hapo juu, wananchi Dar wanahangaika kupata maji mapaka wanathubutu kuchimba visima vya kienyeji katikati ya vijito vilivyojaa uchafu na vinyesi huku DAWASA hawajali chochote wakati mto Ruvu una maji ya kutosha kusambaza. Dar inategemewa...
  3. T

    DOKEZO Malalamiko yanayotoka ndani ya DAWASA

    Nawasalimu katika Jina la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, DAWASA ni Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa mazingira mkoa wa Dar es salaam pamoja na baadhi ya maeneo ya Pwani. Nianze kwa kupongea juhudi inafsi zinazofanywa na serikali yetu ya kumtua mama ndoo kichwani, na juhudi za kuhakikisha kua...
  4. BARD AI

    CHADEMA yatangaza maandamano kudai Umeme, Maji Dar

    Kufuatia kuwapo kwa mgawo wa maji na umeme katika Jimbo la Kibamba jijini Dar es Salaam, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeandaa maandamano ya amani kwenda ofisi hizo ili kujua kiini cha tatizo. Maandamano hayo yaliyopangwa kufanyika Jumatatu Novemba 28, 2022 na Jumanne...
  5. BARD AI

    RC Makalla: Hakuna tena mgawo wa maji Dar

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ametangaza kuanzia sasa hakuna mgao wa maji ndani ya mkoa huo na kuitaka Mamlaka ya Majisafi na Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuelekeza nguvu kuimarisha miundombinu na miradi mikubwa ikiwemo Mabwepande. Oktoba 24, 2022, RC Makalla alitangaza kuwepo...
  6. N

    Ninaomba shida ya maji Dar iongezeke mara dufu zaidi

    Dar ni Tanzania, Tanzania ni Dar. Hutaki hili basi utakuwa una matatizo makubwa ya kijinsia!!! Ukitaka kuona watu wa makabila yote Tanzania hapa basi fika Dar, Ukitaka kuona watu wa dini zote (unazozijua na usizozijua) basi nenda Dar, Ukitaka kuona ofisi zote kuu za vyama vya siasa basi nenda...
  7. Dibwi Method

    Kutatua changamoto ya maji nchini

    March 11, 2022. Mwenyekiti wa Taasisi ya ushirikiano uwekezaji katika sekta ya maji Kusini mwa Afrika (Global Water Partnership) ambaye pia ni Rais mstaafu wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete; Benki ya Maendeleo ya Afrika imesema kwamba dola za Kimarekani bilioni 64 zitahitajika kila mwaka...
  8. JF Member

    Maji Dar ni shida - Ubungo hadi Kibaha hakuna maji kwa wiki moja sasa

    Wizara ya maji - Dawasco, embu tatueni hili tatizo. Wananchi wanapata shida. Line ya Morogoro road Ubungo hadi Kibaha hakuna maji.
  9. JF Member

    Hali ya Maji Dar es Salaam sio nzuri, hayatoki

    Kwa mwendo tunaokwenda muda sio mrefu kipindupindu kikarudi. Kwa mara nyingine maji Dar es Salaam ni shida. Wauza maji wenyewe wanayatafuta hawayapati. Sijui viongozi wanalichukuliaje hili huku hakuna hata taarifa kwa umma.
  10. M

    Maandamano makubwa ya kudai maji Dar es Salaam

    Katika zunguuka yangu vijiweni Dar es salaam, Wananchi wanahasira kali sana juu ya ukosefu wa maji Jijini. Wananchi wanasema Maji wakati mwingine yanakosekana kwa wiki nzima. Kinachowakera zaidi ni kuwa wamekuwa wakitumia gharama kubwa sana kununua maji na hivyo kufanya maisha yao kuwa magumu...
  11. Replica

    Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

    Mamlaka ya maji safi na maji taka Dar es Salaam imetangaza mgao wa maji jiji la Dar es Salaam kanda ya Kinondoni ili kupunguza kero kwenye maeneo yanayotajwa kuwa na msukumo mdogo. Katika ratiba hiyo wakaazi wa Masaki, Mikocheni na Obey wameula, watapata maji saa 24 siku saba za wiki. Baadhi...
  12. MK254

    Mgao wa maji Dar, halafu uongeze na jua linavyopiga, wenzetu mnalo

    Ninavyoijua Dar kwa joto, halafu nimeona Watz wanalalamika kuna ongezeko la jua, na sasa kuna hizi taarifa za mgao wa maji, sio ajabu wakazi wake wanaandika vitu vya ajabu humu siku hizi...... ============================== Dar es Salaam. When Willis Mhango secured a deal of washing 20...
  13. P

    Waziri Aweso hata ndani ya jiji tuna kero ya maji

    Tunaishi maeneo ya ubungo jirani na daraja la Kijazi kushoto kuelekea buguruni, River side maeneo ya mamia ya wakazi. Maji yanakatika siku mbili Hadi tatu. Dawasa hawatoi taarifa yoyote. Leo tarehe 20/10/2021 siku ya tatu Hakuna maji. Hii hali inajirudia Mara kwa Mara inatutesa...
Back
Top Bottom