Keki Adhikari (Nepali: केकी अधिकारी) is a Nepalese film actress and a professional model. She has appeared in numerous music videos, television commercials, print ads and more than a dozen of Nepali movies. She started off her career featuring in several music videos before making it into the silver screen. She made her acting debut with Swor opposite Raj Ballav Koirala. She subsequently earned wide recognition for her performances in I Am Sorry and Masan, Mayako Barima, Mahasus, Biteka Pal and Mero Best Friend. She recently made her debut in theater with historical play Chaarumati, written by writer and a researcher Satyamohan Joshi.
Wadau hamjamboni nyote
Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa uliothibitisha kuwa nilichokuwa nakifikiria kuhusu mihogo siyo kweli!
Leo Jumatano majira ya mchana hapa maeneo ya Mbuyuni nimekula mihogo ya kukaanga ambayo ni mitamu na laini sana utadhani ni keki
Nimpongeze sana huyu mama mpishi...
Kwa wale wote waliwahi kuzionja goli 5 kutoka kwa Young Africans bila shaka watakuwa wanauelewa utamu wake namna ulivyo!
Kama ulikula keki vipande 5 na bado hukuridhika,basi usiwe na shaka wewe jiandae na Birthday nyingine lazima utakula na utashiba!
Kazi ya Yanga ni kuhakikisha kila mualikwa...
Kumponda kijana, kumvunja moyo na kumtamkia kauli za kumkatia tamaa ni kushambulia uti wa mgongo wa taifa.
China imepromote vijana, hadi leo ndio nchi inayoongoza kuwa na malaki ya mabilionea under 30.
Tukumbuke wakina Nyerere, Salim etc walianza kung'aa wakiwa vijana.
Kumeibuka kundi la...
Watumiaji wa bangi nchini Tanzania wameibuka na mbinu mpya ya kuchanganya kilevi hicho na vyakula mbalimbali kama vile majani ya chai, keki, biskuti, juisi pamoja na asali.
Kutokana na hilo serikali kupitia kwa Waziri wa nchi ofisi ya Waziri mkuu Jenista Mhagama akiwasilisha taarifa ya hali ya...
Na wanaoiweka katika hizi Bidhaa pendwa Siku wakiwaza tu kuiweka pia katika Utamu wa Kibaiolojia wa Mwanamke au Mwanaume hapa ndiyo nitakuwa Teja kabisa kwani Wengine huo Utamu Tukuka wa Kibaiolojia wa Mwanamke ndiyo tunaupenda kuliko hata Klabu ya Simba SC na Tanzania yangu.
Ewe Mwenyezi Mungu...
Kuna mazingira wananchi wametengenezewa na CCM kuwalazimu wao kusifia tu kusifia tu hata kama yeye na ukoo wao wote ni masikini wa kutupwa na hawana mbele wala nyuma
CCM, yenyewe imejitengenezea ulaji wa keki ya Taifa kupitia familia chache sana ambazo ndizo zitaendelea kuneemeka na mema yote...
Nasikia umeshauriwa na Mtu unayemuamini na kumsikiliza mno kuwa ili mwaka 2025 upate Uungwaji mkono na wana CCM wote hakikisha kila mara unawapa Ulaji ili Waibe na Wajitosheleze kisha unawapa na Fursa hiyo hiyo na Wengine ili wapige na hadi hiyo 2025 wasije Kukulaumu.
Nimedokezwa kuwa kati ya...
Kila kona kuna shida ya maji.
Wanafunzi bado wanatembae umbali mrefu kuta kutafuta elimu
Kodi kandamizi na tozo za kibabe
Leo hii mkuu wa nchi anakula keki bila huruma kwa wananchi.
Mwenyewe ulipanga uweke Historia pale Uwanjani Highland Estate Mbarali kama Yanga SC yako ingeshinda Mchezo wake wa 50 bila Kufungwa basi umuagize Dereva aingize Gari Uwanjani na mzigawe kwa Mashabiki wenu ili Wazisasambue kwa Mikogo yenu mingi kama Kawaida yenu.
Haya jana Jezi zenu Maalum za...
Wiki ijayo ni birthday ya mpenzi wangu.
Anapenda sana cake na chocolate.
Naomba mnisaidie idea simple ya kumfikishia cake by surprise maana mimi nimesafiri ila nataka imfikie kwake makongo.
Naomba mnipe suggestion page ya insta au twitter wanaouza cake tamu yenye ladha nzuri na laini ili...
Mei 29, mchoro maarufu wa Leonardo da Vinci "Mona Lisa" kwenye Jumba la Makumbusho la Louvre huko Paris, Ufaransa, ulitupiwa keki na mwanaume mmoja aliyejifanya kuwa mwanamke mzee mlemavu anayetumia kiti cha magurudumu, na cream nyeupe ilipakwa kwenye kifua cha Mona Lisa.
Kwa bahati nzuri...
Sikuona sababu yoyote kumuachia malaika wa watu na vijana waende shule hadi kidato cha nne Bure.
Nchi yetu tangu uhuru tunaijenga. Wazee wetu walijenga nchi kwa nguvu nyingi wakiendelea kutangukia mbele ya haki. Sisi tusome Bure Bure bila hata senti kwa keki ipi tuliyohangaika nanyo...
Katika Huduma za Kiroho mbalimbali ndani na nje ya nchi kumekuwa na shuhuda za hadharani kabisa kuhusiana na matumizi ya bidhaa za upako kama mafuta, maji, vitambaa, bangili, keki nk. Nyingi za shuhuda hizi zimekiri nguvu iliyomo ndani ya bidhaa hizi ikiwemo nguvu ya kufisha baadhi ya...
Tangu tupate Uhuru 1961 sasa ni miaka 59 . Lakini wale maadui 3 ambao ni ujinga, umaskini na maradhi bado wanawatesa Watanzania.
Je, tuendelee kuwapa kura CCM ili waendeleze mapambano waliyoyashindwa kwa miaka 59?
Tuwanyang'anye mamlaka kwakuwa wameshindwa kutokomeza ujinga, umaskini na...
Nazungumzia kutoka maisha ya mtaani kabisa kule kwa akina bwashee Mrangi mgonga kokoto.
Hii keki ya taifa anayeifaidi ni nani hasa?
Huku chini tozo, ushuru na kodi ni nyingi sana na labda hizi ndio zinatengeneza hiyo keki, je kuna mrejesho wowote wa keki kwa hawa waponda kokoto wasiokwea V 8...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.