network

  1. Mshana Jr

    Maisha ya baadaye ya watoto wetu yanahitaji wawe na Elimu, network na investment

    Sina sababu ya kueleza mengi sna kuhusu Elimu na investment kwa kuwa kila mahali yanazungumzwa na kurudiwa rudiwa. Lakini watu wote wanasahau element muhimu sana ya network. Network ni namna ambavyo unajijenga ndani ya kundi muhimu la marafiki, washirika, alumnus mbalimbali na ata wale wa...
  2. Replica

    Vita ya Gaza: Uchumi wa Israel wasinyaa kuliko ilivyotarajiwa

    Takwimu rasmi zinaonesha GDP ya Israel imeshuka kwa 19% robo ya mwisho ya mwaka 2023. GDP ya Israel iliathiriwa moja kwa moja na kuzuka kwa mgogoro huo Octoba 07 mwaka jana, ilisema ofisi ya takwimu. Wataalam wanasema takwimu hizo zilizotolewa jana na ofisi ya takwimu ya Israel ni mbaya zaidi...
  3. Jamii Opportunities

    Specialist Network and Security at CRDB Bank February, 2024

    Position: Specialist Network and Security Job reporting to: Senior Manager ICT Location: CRDB Bank Burundi S.A. No of positions: 1 Principal Responsibilities Perform analysis of network infrastructure and contribute towards design, integration, and enhancements as well as configuration of...
  4. Jamii Opportunities

    Clinical Excellence Lead Tanzania at Africa Healthcare Network Tanzania Limited February, 2024

    Position: Clinical Excellence Lead Tanzania Reports to: Country Medical Director Location: Dar es Salaam (Travel between regions will be expected) Job Summary: The Clinical Excellence Lead is responsible for driving quality initiatives within the Clinical Operations team and supporting other...
  5. Jamii Opportunities

    Network Specialist at NMB Bank January, 2024

    Position: Network Specialist Duty Station: Head Office, HQ Main Responsibilities: Oversee and maintain peak performance of Unified Communication hardware and equipment (including routers, switches, servers, TV screens, collaboration endpoints, etc.) for users at the NMB Head Office, contact...
  6. Exile

    Mtandao wa vodacom limebaki jina sasa sio kwa usumbufu wa network

    Sahizi vodacom yamekuwa kama mazoe wanafanya watakavo internet yao imekuwa chini karibia kila siku leo ndo tabu zaidi halafu badae ndo itakuja meseji umemaliza MB zako wakati hata ulichofanya hakipo jana mpesa imesumbua sana
  7. Tabutupu

    How President Magufuli Transformed Tanzania's Roads into the Best in East Africa - The Architect of Tanzania Highways

    John Magufuli, the late president of Tanzania, played a key role in making sure that Tanzania has the best roads in East Africa. He made road construction and maintenance a top priority of his government, and he also implemented a number of policies that helped to improve the country's road...
  8. BigTall

    NSSF Arusha kuna kero ya huduma mbovu, kila siku wanasingizia ‘network’

    Mimi ni mkazi wa Arusha, kero yangu ni kuhusu Ofisi ya NSSF Arusha, kuna usumbufu mwingi wanaofanyiwa baadhi ya watu wanaoenda kudai mafao. Awali, niliambiwa na wenzangu kuhusu usumbufu uliopo kwenye taasisi hiyo na uwepo wa mazingira ya kutengenezwa kutoa ‘kitu kidogo’. Nilifika hatika ofisi...
  9. MASTERCHIEF 255

    Samsung A32 5g korean version kukataa network za bongo

    Habari, Nina sumsung A32 5g inaandikwa kt network Ukiweka SIM card ya tigo inaandika Limited service Haikubali kusoma line za bongo Kwa mafundi software na hardware nipeni solution
  10. emmarki

    Natatuaje tatizo la Tablet za Pritom kupoteza network?

    wadau nina zaidi ya vishikwambi 3 maarufu vya sensa (pritom tablet) zina shida ya kuandika emergency na kupoteza network kabisa. Mtaalamu anijuze namna ya kutatu hilo tatizo tafadhali.
  11. FRANCIS DA DON

    Tatizo la network kwa Airtel leo tarehe 05/09/2023

    Nauliza kwa kifupi tu, kuna tatizo gani leo, maana network inapatika kwa dakika chache tu kisa inakata masaa.., whats going on?! ========================= Update: Tatizo linazidi kuwa kali zaidi, masaa mawili mfululizo ‘NO SERVICE’. Ndio network imerudi sasa hivi. ===========================
  12. Jamii Opportunities

    Marine Products Value Chain and Value Addition consultant at Mwambao Coastal Community Network

    Position: Marine Products Value Chain and Value Addition consultant Scope of work 1. Background and survey design 6 days 1. Work with key Mwambao programmes leads in order to understand high level information about the communities where we are working and initial information of value chain...
  13. Jamii Opportunities

    Senior Network Specialist (CORE) at NMB Bank (2 Posts)

    Position: Senior Network Specialist (CORE) Location: Head Office, HQ Purpose: Plan, organize and deliver cost effective, efficient, and highly available Core network infrastructure services that efficiently support Data, Voice, and Video Main Responsibilities Review and validate internal...
  14. M

    Kipande Cha Barabara Kuu Arusha-Moshi- Tanga, kina network ya simu njia nzima, safi Nape

    Nimetembea sehemu mbalimbali Tanzania, hasa katika Nchii hii ambayo ni huru, Maeneo Mengi nchi hii mtandao bado ni shida. Ila Cha ajabu Kuna route moja imenishangangaza katika njia zetu kuu zote za Barabara , nimeshangaa napata network Barabara nzima Kwa umbali mkubwa sana jambo ambalo si...
  15. Beberu

    Zuckerberg na ndoto ya kuua social network nyingine

    Huyu jamaa baada ya kusumbuana na twiter na Telegram muda mrefu naona sasa kaamua awaue kabisa, Anacopy features nyingi za telegram na kuziweka WhatsApp, anakuja na uwezo wa kutuna HD picture, anakuja na channels sasa hapo Telegram itakuwa haina jipya Kwa sasa anaanzisha app ya threads, hii ni...
  16. NetMaster

    Nitoe tahadhari kwa mnaotaka kununua simu za Sony Xperia Z1, Ni bei rahisi kamera kali ila utajuta kwenye Network.

    Ni kwa toleo lile lilioandika nyuma Docomo kutoka Japan - SO-O1K. niliwahi kununua simu hii yani kamera ni kali, ram si 4gb, battery inachaji fasta na inakaa, simu ngumu, n.k ila kwenye network sasa!! ukiwa mjini centre utaiona simu iko poa kabisa inashika 4g+ ni ngumu kujua kuna tatizo...
  17. Olsea

    Inawezekana kuondoa network lock kwenye iphone?

    Habari wadau, kuna simu ya iphone nataka niinunue kwa mtu kwa hela ndogo ipo network locked ila anaitumia kwa gevey sim, hivi gevey sim haina shida? Na je kama sitaki kutumia gevey inawezekana kui unlock? Asanteni sana.
  18. G

    Kipi heri, Network marketing au Betting?

    Leta huyu na yule wajisajili upate pesa au weka 500(yaani mia tano) kwenye betting sites kama Sokabet au 10bet uomoke na 50k?
  19. Wilhelm Johnny

    Ufi box network error

    [INTERNET] Network Error: A connection attempt failed because the connected party did not properly respond after a period of time, or established connection failed because connected host has failed to respond. Wakuu nani akikutana na hilo tatizo na alitatuaj Wakuu maana nishapata presha hapa
Back
Top Bottom