A full-course dinner is a dinner consisting of multiple dishes, or courses. In its simplest form, it can consist of three or four courses; for example: first course, a main course, and dessert.
Jamani naomba kufahamishwa kwa anayeifahamu kwa ukaribu course ya Bachelor of Arts in Economics and Sociology.. mtu aliyesoma hii course ni kwamba anakuwa Sociologist na Economist kwa wakati mmoja?
Naomba majibu tafadhari
Habarini wana jamvi,
Nina mdogo wangu kahitimu kidato cha nne na kwa masomo ya science kafaulu kwa wastani wa C.
Je, ni course gani nzuri anaweza kusoma ambayo uhitaji wake ni mkubwa kwa sasa?
Wakuu habari.
Kuna mtu kaniomba ushauri hapa course za kusoma kwa vyuo vikuu vilivyo hapo Dar.
Yeye ni mhitimu wa kidato cha sita mchepuo wa HKL, ni course gani asome yenye tija wakuu.
Kujipanga mapema ni kheei zaidi maana wengi hukosea kwa kukurupuka pale wanaporuhusiwa kuomba.
Ushauri wenu...
Kuna dogo mmoja amehitimu diploma ya laboratory technology pale DIT, je anaweza kusomea degree ya medical laboratory? au ni course ipi nzuri anaweza kusomea?
Habari wapendwa!
Naombwa kujuzwa ndugu zangu,
Mimi ni mtumishi wa umma yaani ni afisa mtendaji kijiji, nina diploma ya maendelo ya jamii lengo langu nisome short course pale chuo cha Bandari kwa lengo kile cheti kinisaidie kutoka halmashauri kwenda kule tpa vp hili jambo linawezekana? Na ipi...
Naomba kupata outline za course za masomo yanayohusu Field ya geographia Mimi nikijana niliemaliza kidatu Cha sita 2022 combination ya CBG Nina penda Sana geography nanina ndoto za kusoma degree yenye kuhusu field yake chuo kikuu
Wakuu habari za leo, naomba kuuliza je kwa sasa kozi ya medical attenants imeruhusiwa kutolewa na serikali? Maana nimeona kuna baadhi ya vyuo vya afya vinatangaza kupokea wanafunzi wa hiyo kozi. Hivyo naomba kujuzwa pia na vigezo vya wanafunzi anatakiwa awe na ufaulu gani. 🙏🙏🙏
Habari wana Jf,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu!nimekuwa na mshangao mkubwa kuona baadhi ya course tena za Bachelors kwenye baadhi ya vyuo vya serikali hazitambuliki kwenye mfumo wa ajira wa utumishi na kusababisha baadhi ya graduates kukosa haki yao ya msingi hata ya kufanya...
Kwa Graduate Engineers, jiendeleze kwa kozi zinazotolewa na Siemens bure, na kupewa Certification
Hizi zinaweza kukuongezea ujuzi na kupendezesha CV yako, au hata kujichotea mawili matatu ya kuweza kujiajiri kama Contractor Engineer wa Viwandani na Ofisi yako ya mkononi....
👇...
Wakuu ninatamani kuongeza ujuzi kwenye eneo la statistical software za kufanyia data analysis. Natamani kupata professional short-course Ili kujinoa zaidi kwenye Excel, SPSS, AMOS (Advanced Level) na pia natamani kujifunza R na Python n.k kwa ajili ya shughuli zangu za kitafiti.
Wapi naweza...
Habari wadau,
Wapi naweza kupata mafunzo ya muda mfupi ya Engineering Drafting and design (AutoCAD/Solid works)?
Pia nijue vigezo na masharti.
Asanteni
Habarin ndugu zangu,mimi n kijana mweny bachelor degree ya public administration ambapo nilihitimu mwaka juz,ila kutokana na changamoto za ajira zilivyo nimeon ni bora hata nifanye mchakato wakupiga short course naamin nikiisoma inaweza kunisogeza maali fulan pind nitafutapo ajira,swali langu...
Habarin wadau,
Nimehitim diploma ya mambo ya utawala, sasa niliona nipige hata short course kutokana na changamoto za ajira,nilikuw nauliza je hii short course ya civil drafting ukiachana na chuo cha veta cha Dar es Salaam je kwa upande wa Dodoma nao pia wanatoa?
Msaada wadau kwa anaejua
Nimemaliza form four na nimepata 2 katika masomo yote nimepata c kasoro math ndio nimepata f upande wa art lakini
Nilikua naomba msaada wenu kuhus course GAni nzuri ambayo naweza soma upande wa MASWALA ya bandari hata kama ni diploma ipi ni nzuri
Pia huwa Nina interest katika IT napo pia...
Wakuu nina vijana wawili wa kike na wa kiume wamemaliza kidato cha nne mwaka huu 2021.
Kama mnavyofahamu kwamba matokeo yao yakitoka January wanatapaswa kujiunga kidato cha tano mwezi July.
Sasa kwa miezi yote hii sita naona kama muda ni mrefu sana kwa wao kukaa nyumbani tu.
Sasa nilitamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.