US imepitisha sheria kuwa Tik Tok ijiuze kwa kiampuni za Marekani ndani ya mwaka mmoja au ifunge biashara US. Kwa nini bunge limepitisha sheria hii nzito?
Ninao uhakika kuwa Yanga hivyo tujiandae kumpokea bingwa mpya wa mashindano ya CAF ambae atakutana fainali na muarabu.
YANGA TUJICHANGE PESA YA KWENDA MISRI KABISAAA.
Tutashare mbinu za kujikwamua na ban humu, kumbuka hii ni cat/ mouse game kwa hiyo sio kila mbinu itafanikiwa kwako.
Fanya backup!
Baadhi ya hizi njia zitapoteza chat msg/ picha etc so kama ni muhimu kwako fanya backup unvayojua wewe kabla ya kujaribu lolote.
Tahadhari na factory reset...
According to AP news, Florida will ban thousands of homeless people from setting up camp or sleeping on public property, under a bill lawmakers sent to Republican Gv. Ron DeSantis who support the idea.
Countries, with approval from the state department of children and families would be able to...
Huyu member aliweka uzi hapa jukwaani kwamba akiwa na akili timamu Simba ikifunga apigwe ban ya week.
Naomba apate haki yake hii tabia ya kutoa ahadi tu halafu mods hamtekelezi itaota mizizi humu JF naomba haki itendeke.
Wakuu heshima kwenu.
Niende kwenye mada husika. Nimepata ujumbe kutoka kwa YoWhatsapp ikinitaka nitumie Official Whatsapp.
Nawezaje ku-link messages za YoWhatsapp na Whatsapp ya kawaida, coz wakiipiga ban natumai msg zote zitafutika na kuanza upya.
Sasa nawezaje ku-solve hili suala aidha...
By AFRICA NEWS
Nigeria has announced an expansion of its suspension of degrees accreditation, encompassing additional countries such as Kenya and Uganda.
This decision follows the recent suspension of accreditation for degrees obtained from institutions in Benin and Togo.
During an interview...
Team ya taifa ya Dar Young Africans leo inaenda kushusha kipigo cha mbwa mwizi kwa hawa Medeama hapa Uwanja wa Mkapa.
Tayari kisu kimepata makali ya kutosha na ustaadhi anasema bao ni 3. Haina kuremba. Soka la kufa mtu na mabao makali ya ulaya yataonekana.
Hakuna papatu papatu. Mpira...
Huyu mwamba Boniface Mwabukusi, Wakili Msomi ameonyesha uzalendo mkubwa sana kwa Nchi yake! Wachuuzi wa rasilimali zetu amewakaba koo kweli kweli!
Whatever the outcome ya High Court Judgement on 7/8 but the fact is clear that, Learned Counsel Boniface Mwabukusi is the hero of our times!
Mbona...
UONGOZI UNAOTOKANA NA UTUMISHI: HUFAFANUA UKWELI NA KUSHUKURU
Imeandikwa na: Mwl.RCT
Picha | Kwa hisani ya equita(dot)ie
UTANGULIZI
Kila wakati tunapofikiria juu ya uongozi, mara nyingi tunawaza juu ya wajibu wa kiongozi kutoa mwelekeo na kuongoza timu yake kwa mafanikio. Lakini je...
Ni furaha yangu kuwajuza kuwa mwanetu
Mpwayungu Village kaachiliwa huru kutoka kifungo hivyo tutegemee walimu wetu kutukanwa na kuendelea kupondwa kila siku
Iitwapo leo
Tumkaribishe upya
Sina haja ya kusalimia,
Kama Manchester City tukifungwa na Arsenal naomba nipigwe ban ya mwaka mmoja.
WE ARE CITIZENS.
Moderator Moderator Mkuu @Mexence Melo Active naomba mnizingatie.
Mwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums.
Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) kwa muda wa Wiki nzima kabla ya Mechi ( Derby ) ya Simba...
Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
kila la heri wananchi 💚💛
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.